Salamu toka kwa Balozi Polepole

Wengine tunasubiri siku Afrika itakuwa nchi moja na Tanzania iwe kama mkoa tu ili tuache upumbavu katika bara letu adhimu. Tuombe uzima tu.
 
Wengine tunasubiri siku Afrika itakuwa nchi moja na Tanzania iwe kama mkoa tu ili tuache upumbavu katika bara letu adhimu. Tuombe uzima tu.
Ni vigumu sasa hivi kwa Afrika kuwa na Imani ya Tanzania kuwa kiongozi wa Bara hili South of the sahara.

TANZANIA imekuwa kioo cha siasa na ukombozi , South of the Sahara na Barani kwa ujumla.

TANZANIA amekuwa kama kiongozi wa Bara hili.
Amb. H. Polepole atarudisha Imani na muonekano huo unaohitajika Afrika ili Bara liweze kupiga hatua. stahiki.

ALUTA Continua.
 
Huyu jamaa anajielewa sana sema watu fulani wanamchukulia poa tu. Ipo siku atakuwa pale.

View attachment 2634441
Polepole anajitambua sana,ndio maana establishment inamnyanyapaa.Status quos huwa hazitaki watu wanaojitambua,wanataka watu wa kuburuza buraza tu.

Alicho nacho Polepole kingine cha ziada ni kwamba he is a true nationalist,kama Bashiru.Both love their country,sio kama akina Nape na Makamba Jnr.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…