Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ukiona kapigwa pingu jua ni KomandooHivi huyo mwenye flana damu ya mzee ndio nani? Nayeye ni komando?
Yuko mmoja hapo kwenye post # 2Mataga wakisikia hivi wanapishana chooni
Huyo J wa mitulinga kajitenga sana na chadema, wadau wa muzik I mchangieni huko ss wa siasa tupo na MboweProffesa Jay anaumwa
Chadema tunaomba michango na uhamasishaji kama chama..
Sio michango ya Mbowe Tu wakati Jay Yuko mahututi
Hujui kitu , Shut upProffesa Jay anaumwa
Chadema tunaomba michango na uhamasishaji kama chama..
Sio michango ya Mbowe Tu wakati Jay Yuko mahututi
Uongo utakusaidia nini ?Huyo J wa mitulinga kajitenga sana na chadema, wadau wa muzik I mchangieni huko ss wa siasa tupo na Mbowe
Mashahidi wa Jamhuri ni duni mno !Kibatala Kambatala mtu leo huko aliko maji hayachezi mbali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni ruti za masafa ya Dawasco kila dakika
Huo mwitikio sasa utadhani tuko Kanisa la Mtakatifu Joseph Pale Azania FrontWakuu kiukweli wako watu ambao wamebarikiwa ushawishi nchini Tanzania , miongoni mwao ni huyu Mwenyekiti wa Chadema aliyeshikiliwa jela kwa zaidi ya siku 200 , na kwa hakika watu kama hawa humu duniani wako wachache mno...
Nadhani kama Chama na Kanda huko aliko watatupa taarifa Rasmi. Ni muhimu sana afya ya mtanzania mwenzetuProffesa Jay anaumwa
Chadema tunaomba michango na uhamasishaji kama chama..
Sio michango ya Mbowe Tu wakati Jay Yuko mahututi
Mungu ibariki CHADEMAWakuu kiukweli wako watu ambao wamebarikiwa ushawishi nchini Tanzania , miongoni mwao ni huyu Mwenyekiti wa Chadema aliyeshikiliwa jela kwa zaidi ya siku 200 , na kwa hakika watu kama hawa humu duniani wako wachache mno .
Hebu sikieni na kuona wenyewe Mbowe akisalimia baada ya kuingia mahakamani .
View attachment 2114323
Yupo Ubelijiji tuone kama atakutana na brother wake aliye mtembelea Nairobi alipokuwa amelazwa kwa kupigwa risasi ila sita shangaa mbona alikutana na Mange USA? Huyu maza mdiplomasia sana atalimaliza achana na kiumbe cha jinsia ya Ke"Aione yule mvaa ushungi.
Dhaifu, wanajiabisha wenyeweMashahidi wa Jamhuri ni duni mno !
Kisa nini? Gaidi kasalimia? Something must've gone wrong underneath the buttocks. You must be mult sectoral castratedMataga wakisikia hivi wanapishana chooni
Jaji awe muangalifu sana katika undeshaji wa kesi hii na maamuzi atakayokuja kuyatoa yatamgarimu milele na kizazi chake ajue kuna kitabu lazima kitungwe na kitasomwa duniani kote na nina hakika shule za sheria zita kitumia hivyo Jaji Jaji Jaji kuwa mwangalifu asiteme bigijii kwa karanga za kuonjeshwaDhaifu, wanajiabisha wenyewe
🤣🤣Dhaifu, wanajiabisha wenyewe