Salamu ya Freeman Mbowe yaamsha ari Mahakamani, ni ile ile ya no hate no fear

Salamu ya Freeman Mbowe yaamsha ari Mahakamani, ni ile ile ya no hate no fear

Wakuu kiukweli wako watu ambao wamebarikiwa ushawishi nchini Tanzania , miongoni mwao ni huyu Mwenyekiti wa Chadema aliyeshikiliwa jela kwa zaidi ya siku 200 , na kwa hakika watu kama hawa humu duniani wako wachache mno .

Hebu sikieni na kuona wenyewe Mbowe akisalimia baada ya kuingia mahakamani .

View attachment 2114323
He is an arrow of God.
 
Back
Top Bottom