Salamu ya Freeman Mbowe yaamsha ari Mahakamani, ni ile ile ya no hate no fear

Jaji anamtihani mkubwa sana.Atoke kama shujaa au kama mtu asiye na thamani duniani
 
Proffesa Jay anaumwa
Chadema tunaomba michango na uhamasishaji kama chama..
Sio michango ya Mbowe Tu wakati Jay Yuko mahututi
Nilikuheshimu sana hapa JF. Nilikuona mtu makini sana. Sijui imekuwaje!
 
Pilato usimtishe apangiwi pa kupiga vumilia mpaka mwisho utaona na dunia itaendelea kuzunguka kama kawaida haita simama na mambo yatakuwa kama kawaida
 
Mwenyekiti wangu mie .. ✌🏽✌🏽✌🏽
 
Nadhani kama Chama na Kanda huko aliko watatupa taarifa Rasmi. Ni muhimu sana afya ya mtanzania mwenzetu
Kweli kila mwanachadema asaidiwe na wa kanda yake, Prof J asaidiwe na wa kanda ya unyakyusani na Mbowe asaidiwe na wa kaskazini.
 
Proffesa Jay anaumwa..

Chadema tunaomba michango na uhamasishaji kama chama.

Sio michango ya Mbowe Tu wakati Jay Yuko mahututi
Hayakuhusu ndiyo maana hujui kinachoendelea mumekalia majungu tu kama machangudoa vile. CCM ni laana na maccm wote mumelaaniwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…