Wakuu kiukweli wako watu ambao wamebarikiwa ushawishi nchini Tanzania , miongoni mwao ni huyu Mwenyekiti wa Chadema aliyeshikiliwa jela kwa zaidi ya siku 200 , na kwa hakika watu kama hawa humu duniani wako wachache mno .
Hebu sikieni na kuona wenyewe Mbowe akisalimia baada ya kuingia mahakamani .
View attachment 2114323