Salamu za Askofu Bagonza kwa Makalla na Wenzake, Sisi Tumeshazipokea. Mwenye Kusikia na Asikie.

Hayo ni maoni kama maoni mengine ila hakuna mwananchi mwenye akili timamu akaenda kuandamana mzee chakaza...
 
Hayo ni maoni kama maoni mengine ila hakuna mwananchi mwenye akili timamu akaenda kuandamana mzee chakaza...
Mkuu wangu kipara kipya kwanza habari ya siku!
Mbona unapenda kukariri maisha? Kwanini watu waandamane kama hizo reforms zitafanyika?
Unajua ni kama CCM Inafanya majaribio na uwezo wa watu kwa vile inaanini Jeshi, polisi, mgambo nk ni vyombo vyao kama chama kwa sababu bado mnaongozwa na watu kama Wassira ambao enzi zao ulikuwa huwi katika vyombo hivyo bila kadi ya Chama.
Hivi uchaguzi wa 2019,2020 na 2024 hauwezi kuwapeni RED ALERT kuwa sasa wananchi wamechoka na kufanywa wajinga?
General Al Bashir wa Sudani alisababishiwa kuondoka madarakani na nguvu ya umma iliyoratibiwa na Binti mdogo na moto wake wakashindwa kuuzima sababu ya dharau zao!
Mpaka leo yuko wapi yeye na wapambe wake? Jela anasota.
Askofu Bagoza katumia falsafa kutufundisha hapo kuwa "siku walio tayari kuua na walio tayari kufa wakiungana tutapata shida" ni nani hao?
Tafakari.
 
Mzee Mwenzangu Alhamdulilah majukumu ni mengi ila wewe ndio um-disappear to appear..mimi sijakariri kuhusu maandamano ila kama utarudia kusikiliza hutuba ya lissu amesema atahamasisha na kushawishi wananchi watoke barabarani hata slaa amerudia hiyo kauli sasa ukisema nakariri hapana..bagoza huwa anasema mengi yanayopitia kichwani mwake anachotamani wala hakito tokea nani aache kutafuta pesa yake ya kujenga na kusomesha wanawe akashiriki upuuzi bagoza keshachoka akapambane aonyeshe mfano!
 
Taifa kuwa na watu wajinga kama wewe ni hasara sn
 
SWALI Sasa wataungana lini? Ukilipata jibu utaniita. Nimekaa palee
 
Sikio la kufa halisikii dawa.
 
Hapa sijaelewa
Wananchi(Wanyonge),,Waliojishibia Hupenda Kuwaita Hivyo Wakiungana Na Wananchi Wenzao Ambao Wamebahatika Kufanya Kazi Katika Vyombo Vya Usalama Na Hao Ndio Hutumika Na Kutumiwa Na Waliojishibia,,Kwa Maono Ya Askofu Uvumilivu Unaishaga Anaona Hatari Kwa Waliojishibia Na Nchi Kiujumla
 
Haya maneno watu waovu wameyasema lakini Tanzania ni salama na itahepuka chokochoko zote na itabaki salama kama ilivyokuwa salama juzi,jana na leo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…