Salamu za kheri kwa January Makamba na Nape Nnauye

Salamu za kheri kwa January Makamba na Nape Nnauye

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Shalom,

Ndugu zangu January Makamba na Nape Nnauye kwa niaba yangu mimi na wenzangu wengine na wanachama wa CCM, sisi baadhi yetu bado tunawapenda na tuna imani kubwa nanyi na mioyo yetu bado iko na Nuru juu yenu, siasa ni sawa na mchezo wa basketball substitutions ni muda wotewote na hata kocha nae akikosea sub hujirekebisha.

Tunaendelea kuweka kumbukumbu kwa usahihi kwa wote wanaowakejeli kwa namna na njia zozote zile. Wanaodhani mmeanguka wanakosea na hawajitambui.

Urafiki na undugu wetu sio wa barabarani na kamwe hautaisha ingali tu hai haijalishi majukumu yetu na kipato chetu kutokuwa kama mlivyo ninyi, Bali sisi tunatambua ninyi ni familia yetu nje ya CCM na ndani ya CCM.

Mungu awape amani na furaha popote mlipo. Yeye Mungu wa Leo ndiye yule wa jana na kesho na hata milele.

Wenu rafiki yenu wa nyakati zote itabaki kuwa hivyo forever.

Wadiz (Chief Wadiz)
 
We January Makamba tumekuwekea mtego shindwa tu kuvumilia ujichanganye ukairudie ile account yako ya Kigogo2014 kule twitter uanze kutukana serekali kama kawaida yako
Tumia akili sio ubwengo wala umama aina ya mende kama nyie mtasubiri sana endelea kula ushuzi
 
Shalom,

Ndugu zangu January Makamba na Nape Nnauye kwa niaba yangu mimi na wenzangu wengine na wanachama wa CCM, sisi baadhi yetu bado tunawapenda na tuna imani kubwa nanyi na mioyo yetu bado iko na Nuru juu yenu, siasa ni sawa na mchezo wa basketball substitutions ni muda wotewote na hata kocha nae akikosea sub hujirekebisha.

Tunaendelea kuweka kumbukumbu kwa usahihi kwa wote wanaowakejeli kwa namna na njia zozote zile. Wanaodhani mmeanguka wanakosea na hawajitambui.

Urafiki na undugu wetu sio wa barabarani na kamwe hautaisha ingali tu hai haijalishi majukumu yetu na kipato chetu kutokuwa kama mlivyo ninyi, Bali sisi tunatambua ninyi ni familia yetu nje ya CCM na ndani ya CCM.

Mungu awape amani na furaha popote mlipo. Yeye Mungu wa Leo ndiye yule wa jana na kesho na hata milele.

Wenu rafiki yenu wa nyakati zote itabaki kuwa hivyo forever.

Wadiz (Chief Wadiz)
Kichwa kama wewe ,ulitakiwa hiyo mimba itolewe.

Kwamba Makamba na Nape, shukran zako kwao ni Kwa Urafiki au kufahamiana nao??.

Mtu kama wee ni rahisi kumchukia LUAGA MPINA.
 
Back
Top Bottom