Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Hasira hazitakusaidia Makamba huu ni muda wako wa kukaa pembeniTumia akili sio ubwengo wala umama aina ya mende kama nyie mtasubiri sana endelea kula ushuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasira hazitakusaidia Makamba huu ni muda wako wa kukaa pembeniTumia akili sio ubwengo wala umama aina ya mende kama nyie mtasubiri sana endelea kula ushuzi
Una pepo sio kawaida endelea kutumia akili ushuziHasira hazitakusaidia Makamba huu ni muda wako wa kukaa pembeni
Nyie wakina shalom ndo wachawi sanaShalom,
Ndugu zangu January Makamba na Nape Nnauye kwa niaba yangu mimi na wenzangu wengine na wanachama wa CCM, sisi baadhi yetu bado tunawapenda na tuna imani kubwa nanyi na mioyo yetu bado iko na Nuru juu yenu, siasa ni sawa na mchezo wa basketball substitutions ni muda wotewote na hata kocha nae akikosea sub hujirekebisha.
Tunaendelea kuweka kumbukumbu kwa usahihi kwa wote wanaowakejeli kwa namna na njia zozote zile. Wanaodhani mmeanguka wanakosea na hawajitambui.
Urafiki na undugu wetu sio wa barabarani na kamwe hautaisha ingali tu hai haijalishi majukumu yetu na kipato chetu kutokuwa kama mlivyo ninyi, Bali sisi tunatambua ninyi ni familia yetu nje ya CCM na ndani ya CCM.
Mungu awape amani na furaha popote mlipo. Yeye Mungu wa Leo ndiye yule wa jana na kesho na hata milele.
Wenu rafiki yenu wa nyakati zote itabaki kuwa hivyo forever.
Wadiz (Chief Wadiz)
Shalom,
Ndugu zangu January Makamba na Nape Nnauye kwa niaba yangu mimi na wenzangu wengine na wanachama wa CCM, sisi baadhi yetu bado tunawapenda na tuna imani kubwa nanyi na mioyo yetu bado iko na Nuru juu yenu, siasa ni sawa na mchezo wa basketball substitutions ni muda wotewote na hata kocha nae akikosea sub hujirekebisha.
Tunaendelea kuweka kumbukumbu kwa usahihi kwa wote wanaowakejeli kwa namna na njia zozote zile. Wanaodhani mmeanguka wanakosea na hawajitambui.
Urafiki na undugu wetu sio wa barabarani na kamwe hautaisha ingali tu hai haijalishi majukumu yetu na kipato chetu kutokuwa kama mlivyo ninyi, Bali sisi tunatambua ninyi ni familia yetu nje ya CCM na ndani ya CCM.
Mungu awape amani na furaha popote mlipo. Yeye Mungu wa Leo ndiye yule wa jana na kesho na hata milele.
Wenu rafiki yenu wa nyakati zote itabaki kuwa hivyo forever.
Wadiz (Chief Wadiz)
Mku tujuze vizuri, kwa yeye ndiye!We January Makamba tumekuwekea mtego shindwa tu kuvumilia ujichanganye ukairudie ile account yako ya Kigogo2014 kule twitter uanze kutukana serekali kama kawaida yako
Mkuu juwa kwamba waswahili wana msemo wao usemao "kutenda kosa si kosa bali kurudia kosa"Hapo sawa, Wapo bench kwa mapumziko tu ila ni wachezaji tegemezi wa timu.
Kwa hio hawa wametenda kosa au wamerudia kosa?Mkuu juwa kwamba waswahili wana msemo wao usemao "kutenda kosa si kosa bali kurudia kosa"
Mkuu,ndio hapo tunapaswa kujua kama ni mara ya kwanza basi wapo kwenye matumani na kama ni zaidi ya hapo ndio basì tena: hiyo ndiyo tafsiri ya memo huo.Kwa hio hawa wametenda kosa au wamerudia kosa?
Are they died? Mbona unalia sasa?