Salamu za kheri kwa January Makamba na Nape Nnauye

Salamu za kheri kwa January Makamba na Nape Nnauye

Shalom,

Ndugu zangu January Makamba na Nape Nnauye kwa niaba yangu mimi na wenzangu wengine na wanachama wa CCM, sisi baadhi yetu bado tunawapenda na tuna imani kubwa nanyi na mioyo yetu bado iko na Nuru juu yenu, siasa ni sawa na mchezo wa basketball substitutions ni muda wotewote na hata kocha nae akikosea sub hujirekebisha.

Tunaendelea kuweka kumbukumbu kwa usahihi kwa wote wanaowakejeli kwa namna na njia zozote zile. Wanaodhani mmeanguka wanakosea na hawajitambui.

Urafiki na undugu wetu sio wa barabarani na kamwe hautaisha ingali tu hai haijalishi majukumu yetu na kipato chetu kutokuwa kama mlivyo ninyi, Bali sisi tunatambua ninyi ni familia yetu nje ya CCM na ndani ya CCM.

Mungu awape amani na furaha popote mlipo. Yeye Mungu wa Leo ndiye yule wa jana na kesho na hata milele.

Wenu rafiki yenu wa nyakati zote itabaki kuwa hivyo forever.

Wadiz (Chief Wadiz)
Nyie wakina shalom ndo wachawi sana
 
Shalom,

Ndugu zangu January Makamba na Nape Nnauye kwa niaba yangu mimi na wenzangu wengine na wanachama wa CCM, sisi baadhi yetu bado tunawapenda na tuna imani kubwa nanyi na mioyo yetu bado iko na Nuru juu yenu, siasa ni sawa na mchezo wa basketball substitutions ni muda wotewote na hata kocha nae akikosea sub hujirekebisha.

Tunaendelea kuweka kumbukumbu kwa usahihi kwa wote wanaowakejeli kwa namna na njia zozote zile. Wanaodhani mmeanguka wanakosea na hawajitambui.

Urafiki na undugu wetu sio wa barabarani na kamwe hautaisha ingali tu hai haijalishi majukumu yetu na kipato chetu kutokuwa kama mlivyo ninyi, Bali sisi tunatambua ninyi ni familia yetu nje ya CCM na ndani ya CCM.

Mungu awape amani na furaha popote mlipo. Yeye Mungu wa Leo ndiye yule wa jana na kesho na hata milele.

Wenu rafiki yenu wa nyakati zote itabaki kuwa hivyo forever.

Wadiz (Chief Wadiz)
Screenshot_20240802-100003.png
 
We January Makamba tumekuwekea mtego shindwa tu kuvumilia ujichanganye ukairudie ile account yako ya Kigogo2014 kule twitter uanze kutukana serekali kama kawaida yako
Mku tujuze vizuri, kwa yeye ndiye!
 
CCM hii hii ilimueka MAKONDA benchi ikaja mrudsha kwa SPEED ya 5G

Tuwekeni akiba ya maneno, CCM hii ile ile surprise haziiiishi.
 
WAKAJIAJIRI WAACHE KULIALIA MITANDAONI.

MBUNGE WA MTAMA ILA ANAISHI KAWE HAYA NI MAAJABU TENA ALIPITA BILA KUPINGWA.
 
Are they died? Mbona unalia sasa?

Hii ngumi imeingia barabara kwenye chembe. Walijiandaa kurithishana madaraka na kwa mbinu zile zile zilizojenga mtandao miaka kadhaa. Ule mtandao ambao mpaka leo unaligharimu Taifa.
Hakuna marefu yasiyo na ncha. Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho. Bahari inapochafuka na mashua kurushwa juu na kwenda chini, kutoka upande mmoja kwenda mwingine, kuna vitu vitachanganyana kiasi kwamba kuvitenganisha labda uvivunje ujue moja.
Yes, in the middle of the crisis, lies the opportunities. Other people will come and shine for sure. Ila kuongozwa na watu wasio na uwezo ni dhambi kubwa, Mwenyezi Mungu atuepushie mbali
 
Back
Top Bottom