Salamu za Mch. Mbarikiwa Mwakipesile kwa Dotto Biteko, Naibu Waziri Mkuu

Salamu za Mch. Mbarikiwa Mwakipesile kwa Dotto Biteko, Naibu Waziri Mkuu

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
4,805
Reaction score
17,850
Keypoints:​
  1. Biteko amechaguliwa kusaidia kukisafisha chama cha CCM kwani kina makandokando mengi sana.
  2. Biteko ni mtu muadilifu na muungwana na hajikwezi kama wengine.
  3. Kama waziri wa nishati, Biteko aangalie maeneo 2 ya msingi ambayo ndiyo chimbuko la matatizo yote, bei ya mafuta na upatikanaji wa uhakika na kwa bei nafuu wa umeme.
  4. Rais Samia kafanya jambo jema kumtoa January Makamba wizara ya Nishati. January Makamba na Nape Nnauye ni kero kwa watu wengi Tanzania.



View: https://youtu.be/f91L0vbfd9U?si=geIC9nhdai_OxbAZ
 
Back
Top Bottom