Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Salamu za pongezi ziende kwa mshana kwa kuopoa..chamdeko
[emoji120] [emoji120] [emoji120]HONGERENI MR & MRS MSHANA ( DEMISS) KWA KUTANGAZA NIA KUWA MWILI MMOJA. TUNAWATAKIA MAISHA YA FURAHA NA MASIKILIZANO🙂🙂🙂
Kuna kitu umelishwa si burePongezi nyingi sana kwa mamantilie wa gengeni nilipokula lunch ya leo maana imenifanya nimesahau kama kuna kopo huku jamvini zinatutunishia msuli
[emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19]
Ebu tingisha tunguli tujue kitu nilicholishwaKuna kitu umelishwa si bure
Server za jf zimejaaa mahaba yangu kwakoMy lovely soul.. My heart bit
Funika bovu just can't waitServer za jf zimejaaa mahaba yangu kwako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimelala kifuani kifua kina joto balaaaHahahahah
Msalimie sana heart bit wako najua yuko ubavuni kwako kushoto sasahivi unamlisha mahanjumati
Baby Jr ......[emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]Subiri takupigia tuko kwenye ulimwengu wa kufyatua new bland
Asanteee sana mkuuuSalamu za pongezi ziende kwa mshana kwa kuopoa..chamdeko
AsanteeeeeHONGERENI MR & MRS MSHANA ( DEMISS) KWA KUTANGAZA NIA KUWA MWILI MMOJA. TUNAWATAKIA MAISHA YA FURAHA NA MASIKILIZANO🙂🙂🙂
Hawajui umenipa nini wewe.. Hilo hawalitambui... Ni siri ya wawili wapendanao kwa dhatiBaby Jr ......[emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pongezi nyingi sana kwa mamantilie wa gengeni nilipokula lunch ya leo maana imenifanya nimesahau kama kuna kopo huku jamvini zinatutunishia msuli
[emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19]
Hiyo "Funikaaa bovuuu " hatariiiiiiiFunika bovu just can't wait
NakutamaniHiyo "Funikaaa bovuuu " hatariiiiiii
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole polee wataelewa somooo bado mapema sanaaa ila siku ya suprise ndo wataelewaa kwann nimezama ndani ya hubaaaaaaa lakoHawajui umenipa nini wewe.. Hilo hawalitambui... Ni siri ya wawili wapendanao kwa dhati