TRA Tanzania
Senior Member
- Jul 16, 2022
- 128
- 370
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie TRA mbona wakati wa Magufuli mahusiano yenu na wafanyabiashara yalikuwa hovyo, ni Magufuli aliyaharibu mahusiano hayo au nyie wenyewe?
Hovyo Tu. Hamna kitu haipo
Acheni kutumia muda wenu mwingi kujipendekeza kwa Mh. Rais! Ni vizuri mkatumia muda wenu kutatua kero za walipa kodi wenu. Maana hao ndiyo wanaowaweka mjini. Sawa?
Tanzania Robbery AuthorityKujipendekeza tu
At least najua kumbe mna ID hapa JF.