Salamu za pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Nyie TRA mbona wakati wa Magufuli mahusiano yenu na wafanyabiashara yalikuwa hovyo, ni Magufuli aliyaharibu mahusiano hayo au nyie wenyewe?

cheni unafiki najua siku hizi mianya yenu ya kula na wafanyabiashara imezibwa kwa kiasi kikubwa.

Namshauri Mama Samia awe makini na hii "pongezi" ya TRA, achukulie kinyume chake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…