Salamu zangu kwa mwandishi Edo

Kwenye mambo mengine yote napenda ushindani/kushindana/kushindanishwa isipokuwa kwenye masuala ya moyo!

Ndiyo maana nimemuambia Miss Natafuta yuajua pa kunipata atakapomaliza kujiridhisha kuwa Edo ni zaidi ya amsomavyo insta na kwingineko...
so you know the truth about edo? you know something !?
 
Kwenye mambo mengine yote napenda ushindani/kushindana/kushindanishwa isipokuwa kwenye masuala ya moyo!

Ndiyo maana nimemuambia Miss Natafuta yuajua pa kunipata atakapomaliza kujiridhisha kuwa Edo ni zaidi ya amsomavyo insta na kwingineko...

Akishaujua ukweli atarudi kwako mzee wa kurepair the broken hearts...
 
Edo ana mke na watoto wawili. Mmoja wa kiume anaitwa McVivien Kumwembe. Anatamani sana mtoto akue akakipige Real Madrid.

Mkuu huyo humpati ila siyo mbaya mkaonjana. Ngoja nikutumie namba PM.
mkuu ni kweli au unanionea tu wivu! nimeumia kweli ujue
 
hahahahahahahahahaahahahahaha (bold)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…