mriba
Member
- Apr 1, 2017
- 6
- 2
GoodNashukuru sana mate wangu, love you too mingi mingi. Have a blessed day.
Say helo to my shemeji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GoodNashukuru sana mate wangu, love you too mingi mingi. Have a blessed day.
Say helo to my shemeji.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Dada umenikonfyuzi cpu ya ubongo wangu nikajikuta nishafka Tunduma. [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mbona hujamtakia ndugu yako katika Kristo? Saint Ivuga ........
Anyway, Pasaka Njema Mkuu hata kama hujatutaja.... Ubarikiwe
Daaah!! Dunia hii!! Eti madam Hamis hatunae tena!!Usijali mate nipo makini mate wako
Nafuata nasaha za mkwangwa the big man na late mwl Hamisi mwalimu wa malezi lol
May she rest in peace jamani
Asante sana mate
Nawe uwe makini usinyanduliwe kweli kweli
Woow!
Daaah!! Dunia hii!! Eti madam Hamis hatunae tena!!
Makumbuka tu vichambo vyake, alijua kutuchamba yule mwanamke chaaah!!!
Mteke utafika salama kule kweli si utakua ushasharibika?? Huyo dawa ni migebuka tu na mawese asafishe machoHapo safi lkn naww utukaribishe sasa tuje tule ubwabwa na maharage nb. Nitakuja na mteke wangu.
Sawa mkuu usijali maparachichi yapo ya kutosha na ndizi na nitapitia kwa jirani yangu malafyale ni chukue na mananasi ili juice iwe ya ukweli zaidiUsisahau namimi maparachichi
Napenda juisi ya parachichi mixa na pasheni
Nzito Nzito fulani hivi inanogaaa
cc: Smart911
Kwacha kwacha babaaa kwacha zipo??Npo gado kwakweli... Huku tunakula mpaka gridi ya zesco. Mahindi na copper ndo bizness huku tu bestie... Muase mate ajipange tu. [emoji12] [emoji12]
Kwacha kwacha babaaa kwacha zipo??Npo gado kwakweli... Huku tunakula mpaka gridi ya zesco. Mahindi na copper ndo bizness huku tu bestie... Muase mate ajipange tu. [emoji12] [emoji12]
Ajajajajajajajajajajajajajajajajajajaja mkuu hapo umegusa penyee apoSawa mkuu usijali maparachichi yapo ya kutosha na ndizi na nitapitia kwa jirani yangu malafyale ni chukue na mananasi ili juice iwe ya ukweli zaidi
Usiogope mkuu nitafanya hivyoAjajajajajajajajajajajajajajajajajajaja mkuu hapo umegusa penyee apo
Napenda juisi mixa ya hayo matunda mwee mweeee weee nitakunywa mpaka nijilambe
Pomaja mkuu mondray kapotelea wapiAsante sana mkuu
Kwacha kwacha babaaa kwacha zipo??
Nisije mtoa kimasomaso mate ake namie akapotelea msumbiji huko??