Salamu zangu kwenu

aiii, mmmmhhhh! yaani mimi mahondawa hajanitajaπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Nimecheka kwa sauti usijali nitaileta mkuu
Fanya hima mkuu 2015 nilikua huko asee nilitoka nimenona si Mchezo ile kitu na ndizi choma afu pembeni kulikua na mama mmoja Anauza maziwa fresh 1st draft mazitoooo yani kitu hakina hata majii karibia Kila asubuhi na Jioni nakunywa
Nilijaa hatareeeeeeeeeeeee
 
Sawa ila tumia tu ile kauli ya kuwa chakwako ni mhimu kuliko cha mwingine na ulipo shika shikilia usiachie

Asante mkuu
Nipo makini sana na namuamini sana Smart911 yupo makini sio mtu wa kushobokea sketi sema sketi ndo zinamshobokea haha
Ana kismart kama jina lake lol


Wacha nifunge domo langu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…