Salamu

Salamu

jamani kwani kuna shida akiweka picha???? Hahahaaaaaa mtufundishage na Wengine tusilete Aibu hapa
 
SALAMU jaman mm huku jf nimejiunga leo. Niko ubungo dar salaam naomba mnipokee
 
Nlikua na mpango wa kutupia photo zangu humu ila inaonekana ni kama kosa la Jinai unaweza hata kufunguliwa kesi basi siweke tena.

Mara sijui mkanda umepauka aisee ukiweka picha humu inabd ujipangee sawia

Ila mbona kama zile za upande mwingine zinasifiwa sana hata kama hazijakizi viwango??
 
Nlikua na mpango wa kutupia photo zangu humu ila inaonekana ni kama kosa la Jinai unaweza hata kufunguliwa kesi basi siweke tena.

Mara sijui mkanda umepauka aisee ukiweka picha humu inabd ujipangee sawia

Ila mbona kama zile za upande mwingine zinasifiwa sana hata kama hazijakizi viwango??
Huku ni kwa ma great thinker kijana! Tunaitana MKUU! Alafu mwanaume usipende kusifiwa sio tabia nzuri.
 
Huku ni kwa ma great thinker kijana! Tunaitana MKUU! Alafu mwanaume usipende kusifiwa sio tabia nzuri.
Ila sidhani kama Ndugu alikua na nia hiyo.
Kaweka kama utambulisho tu
Kwanza alitakiwa apongezwe sana ni wachache sana wenye ujasiri huo humu.
 
Ila sidhani kama Ndugu alikua na nia hiyo.
Kaweka kama utambulisho tu
Kwanza alitakiwa apongezwe sana ni wachache sana wenye ujasiri huo humu.
Ni elewe huku ni kwa ma GREAT THINKER
 
[HASHTAG]#bryan2[/HASHTAG] nashukur bana mm niliweka kwa utambulisho tu sio nia mbaya samahann sana wakuuu
 
jaman nimeona wa2 wananitukana et kisw kibov alaf mda mwngn tusimtazame MTU kwa umbile lake naona mmeisha sema mm mwanfnz et mngejua msingesemaaaa aiseee ila ndo hamjui alaf hy ksw nimeamua tu nipge swaga
 
Kama hizo ndio swagger zako Mwl, nawaonea huruma watoto wetu unaowafundisha.
 
jaman nimeona wa2 wananitukana et kisw kibov alaf mda mwngn tusimtazame MTU kwa umbile lake naona mmeisha sema mm mwanfnz et mngejua msingesemaaaa aiseee ila ndo hamjui alaf hy ksw nimeamua tu nipge swaga

Mwalimu hapa unazidi kuzingua, huu siyo uandishi wa mwanaume ni wa mvulana au ambaye hajajua jinsi yake bado. Nishawaona wanne wewe ni wa tano mwenye uandishi huu.

Tafuta uzi fulani hivi wa bikra latifah kuna member wanajitambulisha kwa majina 3 na picha.
 
jaman mm huku Jf Leo ndo nimekuwa na account Niko Serengeti

niwatakie jion njema wote
94cd05d9cc7a8ee7c1a704a83571226f.jpg
hvy viat umeshindwa hata kubrush et mwalim wa shule ya msingi serengeti?
na huo mkanda umechoka sana,mwisho wa mwezi kanunue mwingine!

#viatu+mkanda=inafanana na hyo sakafu vumbi
 
Back
Top Bottom