Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah, yaani nshukuru kwa kukumbuka kunipigia debe...............unajua tangu uniambie mkali mie nilijikalia pembeni nakusubiri wewe pekee uniunganishie................ thanks, nafikiri safari hii uko kikazi zaidi na atakubali.............. please facilitate.............
jamani mchumba wangu mbona hvyo tena mpenzi?????????? mi mbona nilishaandaaa ng'mbe kabisaa?????????????/ kwani imekuwaje tena.............. sema basi kama nimekukosea unisamehe.................. tuendeleezze tulipoachia............. mi mwenzio sijiwezi kabisa mamiiiiiiiiiii................... please.............
Hakuna anayeoa/kuolewa siku za karibuni tena?? Nahitaji kuwa mhasibu mkuu kwa mara nyingine nimejikuta ninamiss kushika hela nyingi ambazi si zangu tehtehtehteh![]()
tafadhari mkulu tuheshimiane, hajaniacha, yaani mnavyotamani aniache muanze kusarandia..............looh.......... mlie tu.............. tuandalieni michango kabisa..........
hakuwa mchumba yule Twinuska!pale nilipita tu dia ,ah ah ah,c men uwa wanasema hivyo?na mm nilipita tu hana lolote
I will do the needfull binamu, maombi kwa sana mke mwema atapatikana tu.Mi naoa hapo 2012 mchakato umesha anza tunasubili kwaresima ipite ili mnisaidie maombi nipate kitu cha ukweli kama Lily Flower jamani sala zenu ndo nguzo yangu na Mungu atanifunilia nipate mke mwema. Amina
I will do the needfull binamu, maombi kwa sana mke mwema atapatikana tu.
Kwa hiyo umemchezea tu AK-47 na kumwacha, umemharibia maisha yake! 🙂![]()
tulichezeana bana
huyu safari hii atafanya tu HATA KWA MIJELEDI!...tumechoka na ma-sinia-bachelaaz.bachela gani mvi kibao,lol😀senks JS. Mi na Hommie tumemiss safari nyingine pamoja na wow wow wow
who is next wajameni? Fidel ni 2012 huyo tena kwa mbinde
huyu safari hii atafanya tu HATA KWA MIJELEDI!...tumechoka na ma-sinia-bachelaaz.bachela gani mvi kibao,lol😀
wewe muitikie tu kwamba sinywi kabisa....!then kila ukinywa unapitia kwa aswile unakula kitunguu pale.harufu yote KWISHNEI😀Nitajitahidi nikuunganishe na mchumba mlokole unisaidie anasema nalewa mno ninywe 2 tu.
wewe muitikie tu kwamba sinywi kabisa....!then kila ukinywa unapitia kwa aswile unakula kitunguu pale.harufu yote KWISHNEI😀
😕😕 ????????????????? Eee?wewe muitikie tu kwamba sinywi kabisa....!then kila ukinywa unapitia kwa aswile unakula kitunguu pale.harufu yote KWISHNEI😀
UNAKAMATA VALUU!lakini unaichanganya na red-bull.harufu ukishapiga sana unamtuma masai akanunue matunda ya zabibu.hapo ATASUBIRI MZEE!..wewe unajikunja tu kamaaaaaaaa.................................😀😀Hahahaha je siku ambayo anataka kupewa haki ya msingi napo si natakiwa nisionje kabisa?
hehehe!habari ndo hiyo kiongozi🙂😕😕 ????????????????? Eee?
hehehe!habari ndo hiyo kiongozi🙂
UNAKAMATA VALUU!lakini unaichanganya na red-bull.harufu ukishapiga sana unamtuma masai akanunue matunda ya zabibu.hapo ATASUBIRI MZEE!..wewe unajikunja tu kamaaaaaaaa.................................😀😀
NENDA KASOME USHAHIDI AMBAO CHARITY anajiandaa kutuwekea kule kwenye biashara haramu ya 'kusaidiana'Hehehe! LOLZ!
Hapa hapanifai. Mtanifundisha tabia mbaya!