Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
plz take the supu kabisa then come and finish this Fide here mi staki uchokozi yeye ananilazimisha............
Ahaa! Kama ni huyo sihitaji wala supu..........!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
plz take the supu kabisa then come and finish this Fide here mi staki uchokozi yeye ananilazimisha............
Haya nitakuwa namwita mme mwenza au nakosea napo?
Ulisema mzungu kumbe ni Mzungu wa usukumani kule kwa shemeji zangu.
tatizo unasahau kile kitufe😀mnanifurahisha sana wapwazz na binamuzz ndo maana nawapenda sana
Ahaa! Kama ni huyo sihitaji wala supu..........!
Mnanifurahisha sana Wapwazz na BInamuzz ndo maana nawapenda sana
Mnanifurahisha sana Wapwazz na BInamuzz ndo maana nawapenda sana hasa hasa mpenzi wangu Chrispin
mkuu nanihiii atamind Goeff.............tatizo unasahau kile kitufe😀
Oups! Nilifikiri mi big brother!
Lakini si mbaya. Ntalifikiria. Tegemea positive reply.
ntamwambia na binamu Kaizer,
nani tena wajameni?.....mkuu nanihiii atamind Goeff.............
This is very yuziful posti. Hebu kaangalie nimekugongea nini pale. Afu unambie baada ya ku-do the needful too.hahaaaa biggy the 'CHIEF EDITOR'
Mnanifurahisha sana Wapwazz na BInamuzz ndo maana nawapenda sana
Wapwazz na BInamuzz hamjambo za asubuhi???
Mlilalaje??? Mmeamkaje??? Watoto wenu hawajambo??? Waume na wake zenu hawajambo??? Nimewamiss sana ndugu zanguni
Mie mzima kiasi nashangaa asubuhi yote hii nimepata kwikwi nina miaka sijapata kinanipa shida kweli hata kutype inasimama kwa sekunde kwikwi ikiija lol
Hakuna anayeoa/kuolewa siku za karibuni tena?? Nahitaji kuwa mhasibu mkuu kwa mara nyingine nimejikuta ninamiss kushika hela nyingi ambazi si zangu tehtehtehteh![]()
Muwe na siku njema na kazi njema.
JS
Kwa hiyo umemchezea tu AK-47 na kumwacha, umemharibia maisha yake! 🙂![]()
haaa masaki nimecheka mpaka nimeckia kizunguzungu, nipeleke taratibu mwana wa mwenzio jamani!
Mnanifurahisha sana Wapwazz na BInamuzz ndo maana nawapenda sana
This is very yuziful posti. Hebu kaangalie nimekugongea nini pale. Afu unambie baada ya ku-do the needful too.
nani tena wajameni?.....
Hawa wote wanapenda mm niwe shemeji yao kwako.
We endelea kuunanga nanga moyo wangu wapi niende nikamlilie?
HEBU NIPE LINK NA MIMI NISOME.unaweza chezea ban bila kujuawa kaya nawe Goeff.......naogopa kumtaja kwa hapa bana.................!!!!!!!!!!!!