Salary imeisha sasahivii baa nyingi peupeee!!!!! Kuna jamaa apa bia moja anainywa 2 hours sasa.

Hapa the Great Tabata hata pakukanyanga hamna watu wamejaa na tunasherekea ushindi yaani bampa to bampa hadi mida ya wanga
 
Hapa the Great Tabata hata pakukanyanga hamna watu wamejaa na tunasherekea ushindi yaani bampa to bampa hadi mida ya wanga
Watu apo makelele tu bia moja tangu mechi ianze
 
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 

Attachments

  • Screenshot_2017-02-15-13-16-05.png
    114.5 KB · Views: 25

Attachments

  • Screenshot_2017-02-15-13-14-02.png
    115.6 KB · Views: 20
Mshahara umeishaje wakati mwisho wa mwezi bado?[emoji56]
 
Kwenda Bar ni fashion au?mtu unaanzaje kwenda Bar wakati mfukoni pakavu!
 
Aisee huku kwetu ni peupe kabisaaaa
Acha umbea we binti yani uko bar unachunguza watu wanakunywa bia moja kwa masaa mangapi? hii kazi ya ubaamedi haikufai kabisa hauna siri wewe,ningemjua bosi wako ningemtafuta akufukuze leo leo...Ebo!
 
No mazao bado yako shambani hayajakomaa bajeti ya kununua chakula inaingilia starehe si mchezo.
 
No mazao bado yako shambani hayajakomaa bajeti ya kununua chakula inaingilia starehe si mchezo.
Nimekuwekea picha yangu mke wangu wa 4 [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 

Attachments

  • Screenshot_2017-02-15-13-15-31.png
    85.4 KB · Views: 19
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…