Ramea
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,146
- 4,084
Vilivyopigwa stop ni vifungashio/container sio pombe. Watatuwekea kwenye vyupa sio viroba.Hivi valuer hazijapigwa stop ee ? Au hawajui nazo ni noma mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vilivyopigwa stop ni vifungashio/container sio pombe. Watatuwekea kwenye vyupa sio viroba.Hivi valuer hazijapigwa stop ee ? Au hawajui nazo ni noma mkuu?
na kufyatua watotoSio muda wa kunywa,huu ni muda wakujenga viwanda tu.
yeuwiiiiiiiii auwiiiiiiii mbavu zangu Mie auwiiiiiiiiiii yeuwiiiiiiiUlishatoka mkuu tangu tarehe 20, kama hujaona wako ujue ile 15% imemeza Salio lote maskini
Mbona makelele, asilimia 15 imekumaliza eehUwiiiieee
yeuwiiiiiiiii auwiiiiiiii mbavu zangu Mie auwiiiiiiiiiii yeuwiiiiiii
Duh,kazi kweli kweli.Mi nikisogea Bar hapo lazima niwe na hela flani inahitaji kuteketezwa.Unakwenda tu ivo ivo ili na wewe uonekane unazo, ukitaka kunukia shurti ukae na ua.
Sikumbuki mkuu,siku hizi kabla hela sijaishika tayari ishaisha maana nimeongeza kanidhamu flani ka matumizi.Bar nazipita kwa mbaaali kabisa maana zipo mwishoni kabisa katika priority list yangu..Ebu tukumbushe Mara ya mwisho kuwa na za kuteketezwa ni lini mkuu?