Salary incriment imekwenda wapi?

Salary incriment imekwenda wapi?

Annie X6

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2023
Posts
704
Reaction score
1,331
Wana jf naomba kujuzwa.

Mshahara uliopita ulikuwa na incriment ya July. September kitu plain. Why
 
Utumishi wa umma ni wito...haifai kuwaza pesa...
 
Wana jf naomba kujuzwa.

Mshahara uliopita ulikuwa na incriment ya July. September kitu plain. Why
Ufafanuzi wa hii Kitu uko simple sana..

Serikali ilisema itaongeza Increment ifikapo mwezi July 2023 lakini haikufanya hivyo...

So ikaja kufanya Increment mwezi August ikiwa na deni la July ambayo budget yake Ilipita tayari kwenye Mpango ulikuwa implemented...

angalia mfano hapa chini..
Imagine wewe mshahara wako ni 1,200,000/-
Wenye Scale TGX1 wenye nyongeza ya kila mwaka ya Tsh 21,000/-

Mshahara wako August ulisoma kama ifuatavyo kwenye Salary slip..

Scale yake ilichange kutoka TGX1 kwenda TGX2 kuonyesha kwamba Umefanyiwa Increment ya step 1 ahead....

Mshahara wako basic uliandikwa 1,221,000/- badala ya 1,200,000/-

Lakini chini ya mshahara wako basic kulikuwa na maandishi yaliyoandikwa salary as per july 2023.. ambapo iliongeza kiasi cha Tsh 21,000/- (Kulingna na mfano naoendelea kuutolea)

Hii inamaanisha kwamba deni la July kwakuwa hukupata pesa lililipwa na Pesa hiyo iliyoongezwa hiyi 21,000/

Hivyo kufanya mwezi August mshahara wako Uwe 1,242,000/-
Ongezeko hili halikumaanisha kwamba Pesa yote hiyo ilikuwa increment bali kulikuwa na increment plus Deni...

Sasa mwezi wa Tisa pale ambapo ulianza kupokea increment yako Ya kawaida na mshahra wako wa kawaida then ukapara 1,221,000/
utaiona ndogo kozi ile ya mwezi wa nane haikuwa yote Increment ilikuwa ni increment plus deni la Increment la mwezi wa saba...

i think umenielewa
 
Ufafanuzi wa hii Kitu uko simple sana..

Serikali ilisema itaongeza Increment ifikapo mwezi July 2023 lakini haikufanya hivyo...

So ikaja kufanya Increment mwezi August ikiwa na deni la July ambayo budget yake Ilipita tayari kwenye Mpango ulikuwa implemented...

angalia mfano hapa chini..
Imagine wewe mshahara wako ni 1,200,000/-
Wenye Scale TGX1 wenye nyongeza ya kila mwaka ya Tsh 21,000/-

Mshahara wako August ulisoma kama ifuatavyo kwenye Salary slip..

Scale yake ilichange kutoka TGX1 kwenda TGX2 kuonyesha kwamba Umefanyiwa Increment ya step 1 ahead....

Mshahara wako basic uliandikwa 1,221,000/- badala ya 1,200,000/-

Lakini chini ya mshahara wako basic kulikuwa na maandishi yaliyoandikwa salary as per july 2023.. ambapo iliongeza kiasi cha Tsh 21,000/- (Kulingna na mfano naoendelea kuutolea)

Hii inamaanisha kwamba deni la July kwakuwa hukupata pesa lililipwa na Pesa hiyo iliyoongezwa hiyi 21,000/

Hivyo kufanya mwezi August mshahara wako Uwe 1,242,000/-
Ongezeko hili halikumaanisha kwamba Pesa yote hiyo ilikuwa increment bali kulikuwa na increment plus Deni...

Sasa mwezi wa Tisa pale ambapo ulianza kupokea increment yako Ya kawaida na mshahra wako wa kawaida then ukapara 1,221,000/
utaiona ndogo kozi ile ya mwezi wa nane haikuwa yote Increment ilikuwa ni increment plus deni la Increment la mwezi wa saba...

i think umenielewa
Anakusumbua tu...
 
Ufafanuzi wa hii Kitu uko simple sana..

Serikali ilisema itaongeza Increment ifikapo mwezi July 2023 lakini haikufanya hivyo...

So ikaja kufanya Increment mwezi August ikiwa na deni la July ambayo budget yake Ilipita tayari kwenye Mpango ulikuwa implemented...

angalia mfano hapa chini..
Imagine wewe mshahara wako ni 1,200,000/-
Wenye Scale TGX1 wenye nyongeza ya kila mwaka ya Tsh 21,000/-

Mshahara wako August ulisoma kama ifuatavyo kwenye Salary slip..

Scale yake ilichange kutoka TGX1 kwenda TGX2 kuonyesha kwamba Umefanyiwa Increment ya step 1 ahead....

Mshahara wako basic uliandikwa 1,221,000/- badala ya 1,200,000/-

Lakini chini ya mshahara wako basic kulikuwa na maandishi yaliyoandikwa salary as per july 2023.. ambapo iliongeza kiasi cha Tsh 21,000/- (Kulingna na mfano naoendelea kuutolea)

Hii inamaanisha kwamba deni la July kwakuwa hukupata pesa lililipwa na Pesa hiyo iliyoongezwa hiyi 21,000/

Hivyo kufanya mwezi August mshahara wako Uwe 1,242,000/-
Ongezeko hili halikumaanisha kwamba Pesa yote hiyo ilikuwa increment bali kulikuwa na increment plus Deni...

Sasa mwezi wa Tisa pale ambapo ulianza kupokea increment yako Ya kawaida na mshahra wako wa kawaida then ukapara 1,221,000/
utaiona ndogo kozi ile ya mwezi wa nane haikuwa yote Increment ilikuwa ni increment plus deni la Increment la mwezi wa saba...

i think umenielewa
Acha ku generalize mambo, siyo wote waliolipwa madeni ya increment za nyuma.
 
Acha ku generalize mambo, siyo wote waliolipwa madeni ya increment za nyuma.
Hakuna mahali kwenye Maelezo yangu nimesema kwamba Mtu kalipwa increment za nyuma..

Naomba upitie Tena vizuri bila kuwa na hasira na Kazi yako wala kua stresss
Ntardia iko hivi pesa ulioiona Ikiwa nyingi mwezi august ilikuwa ni Limbikizo la double ya mwezi wa Saba mwaka huu yaani hela yako ya mwezi wa Saba pia ililipwa Mwezi wa nane kwahyo kwa mwaka huu inahesabika kwamba ulifanyiwa increment mwezi wa saba...

Ifahamike hivi Ili tuongee kwa facts nakuomba kama una salary slip zako na ulikuwa eligible kufanyiwa increment mwaka huu naomba uziangalie vizuri..
Chukua ya mwezi wa nane na ya mwezi wa tisa ...

Au kama utaweza futa sehemu zote muhimu hata pesa halafu zifume hizo salary ya mwezi wa nane na ya mwezi wa tisa nitunie kukueleweshea maneno hayo...
 
Kiukweli mama na sisi watumishi wengine tunataka tupewe allowance ya maji,umeme na Kodi ya nyumba maana ata sisi tunakatwa Kodi kwanini kuwe na upendeleo na maisha ni hayahaya wote magumu!
 
Back
Top Bottom