Salary incriment imekwenda wapi?

Salary incriment imekwenda wapi?

Kiukweli mama na sisi watumishi wengine tunataka tupewe allowance ya maji,umeme na Kodi ya nyumba maana ata sisi tunakatwa Kodi kwanini kuwe na upendeleo na maisha ni hayahaya wote magumu!
Bila kusahau ration, pesa ya chakula cha mchana ukiwa kazini.
 
Kama hawalipwi allowance ya nyumba, usafiri, maji, umeme unataka waishi kwa miujiza au walale mitaroni......acha kuongea mambo kirahisi rahisi.
Unajua maana ya utumishi wa umma?
 
Back
Top Bottom