- Thread starter
- #21
nmb ndio imeaanza crdb kwenye saa kumi mtaanza kuona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nmb ndio imeaanza crdb kwenye saa kumi mtaanza kuona
ha ha ana pub huyoo ha ha
Kitu kimetoka. Nachekelea tu hapa ofisini.
si nimekutetea pale unauza kuongeza kipato soma thread ya nyuma kuna mdau alikuzinguaEeeh tuheshimiane kwahiyo mm nauza pub loooh hebu tuheshimiane ndugu yangu povu la nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
hata mm ndoo naona hapa ila kiukweli salary tamu jamaniii
Kwa furaha hizi hiyo ngoma imeshaisha mpaka sasa
sijakuponda demiss najua wewe mtumishi mtiifu bana
Hureeeeee nimepanda na darajaaaaa kitu cha F ...Watu pigaaaa keleleeeee
achana nae ajielewii huyuuu mshahara ni haki yetu coz tumetumikia jamanii
Mkuu data wamekukumbuka safari hii?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]MUHINDI MPAKA TAREHE 10Naona mmeamua kuturingishia. Mimi wa kwa Muhindi ndio bado kabisaa yaani kwangu ukiingia basi shule zimeshafunguliwa.
#Mubanematumizisasa.
kwa mhindi sio poa aisee na matusi utaambulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]MUHINDI MPAKA TAREHE 10
Sent using Jamii Forums mobile app
si nimekutetea pale unauza kuongeza kipato soma thread ya nyuma kuna mdau alikuzingua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sijakuponda demiss najua wewe mtumishi mtiifu bana
Hatari sana ... Na feb namaliza bodi ya mikopo ...nalipuka na benki ....
Ahsante mdogo wa mie. Naona mnataka kutunyong'onyeza kina sio ambao mishahara yetu mpaka tarehe 08 na kuendelea mwakani.
kwa mhindi sio poa aisee na matusi utaambulia
Hatari sana ... Na feb namaliza bodi ya mikopo ...nalipuka na benki ....