darren gold
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 312
- 185
Ata siku moja weVipi na maisha anayoishi...kwa ufahamu wangu mshahara unalipwa kulingana na gharama za maisha....unaweza kuta anatumia kwa mwezi milioni 40
Hakuna TRA huko hahahahahaha labda ungesema BRA. Tanzania revenue authority. Bora Belgium's Revenue AuthorityHapo tax imeshaondolewa kaka, kuna makato ya "TRA" ya huko na ile ya wanayotozwa wachezaj wa kigeni.
Nasikia jamaa anakula 80m lakini linapokuja suala la kodi na takataka nyingine wanamlamba kama 35m hiviHapo tax imeshaondolewa kaka, kuna makato ya "TRA" ya huko na ile ya wanayotozwa wachezaj wa kigeni.
Nimejaribu kuchek ya hasheem thabeet, it was his last contract in 2014, average salary per year ni 2.3 billion Tsh. Dah sasa najiuliza ama wadau mnisaidie sjaona investment yoyote aliyofanya hizo hela zote, na nimesoma pia amepelekwa ligi daraja D ambapo naona kama yuko ktk.majaribio na timu moja hivi
Euro elfu 20Buku ishirini.
Vipi na maisha anayoishi...kwa ufahamu wangu mshahara unalipwa kulingana na gharama za maisha....unaweza kuta anatumia kwa mwezi milioni 40
Nimejaribu kuchek ya hasheem thabeet, it was his last contract in 2014, average salary per year ni 2.3 billion Tsh. Dah sasa najiuliza ama wadau mnisaidie sjaona investment yoyote aliyofanya hizo hela zote, na nimesoma pia amepelekwa ligi daraja D ambapo naona kama yuko ktk.majaribio na timu moja hivi
Hapana mkuu. Ni ile longo longo ya Wabongo kujifanya tunajua kila kitu nami nimefuata mkumbo tu. Nasikiaga tu [emoji16][emoji16][emoji16]
Mkataba wake ushausoma duh wabongo banaHalafu kingine genk wamempangia nyumba maana yake club Ndio inalipia pango la nyumba
Jamaaa yuko vzurKatika pitapita zangu kwenye mitandao nlikua curious kujua ndugu yetu na mtanzania mwenzetu kijana wetu na ambae ana inspire vijana wengi katika kutia juhudi na kufanikiwa kimaisha, mbwana samata,hapo alipo kwa mwezi anapokea kiasi cha Tsh.45,000,000/= kwa exchange rate ya siku ya leo ya euro mana they are paid in euro's. Its lot of money if you ask me for a tanzanian player like him playing abroad.
Anyway hio ni kwa samatta. Sijamskia kabisa braza hasheem thabit mana ndo alikua anaongoza kwa tanzania sports players ambao wanalipwa pesa ndefu. Embu tujuzwe alipo.huyu bwana mdogo.