Salary ya Mbwana Samatta

Salary ya Mbwana Samatta

japo siyo ndugu yangu kikabila wala kidini, ila ni mtanzania mwenzangu. kwa huo mshahara wa 20k$ bado ni ndogo mnoooo, mi namuombea kwa mola afikie level ya kulipwa 250k-500k$+ per week. big up samata big up Tanzania.
 
Hapo tax imeshaondolewa kaka, kuna makato ya "TRA" ya huko na ile ya wanayotozwa wachezaj wa kigeni.
Hakuna TRA huko hahahahahaha labda ungesema BRA. Tanzania revenue authority. Bora Belgium's Revenue Authority
 
Mnashindwa kutofautisha kati ya dola na shilingi.
Hizo hela kwa kule marekani ni kiasi kidogo sanaa. Usisahau mtu Ana matumizi yake binafsi. Na gharama za maisha za marekani ni kubwaaa
Nimejaribu kuchek ya hasheem thabeet, it was his last contract in 2014, average salary per year ni 2.3 billion Tsh. Dah sasa najiuliza ama wadau mnisaidie sjaona investment yoyote aliyofanya hizo hela zote, na nimesoma pia amepelekwa ligi daraja D ambapo naona kama yuko ktk.majaribio na timu moja hivi
 
Kweli aisee...hiyo hela unaweza ukaiona nyingi kibongo bongo ila kwa kule ikawa si nyingi sana kutokana level ya maisha yao...bills nyingi..
Vipi na maisha anayoishi...kwa ufahamu wangu mshahara unalipwa kulingana na gharama za maisha....unaweza kuta anatumia kwa mwezi milioni 40
 
Kuna sehemu nilisoma kwamba mwamba ana zaa ovyo ovyo hela nyingi inaishia kwenye child support...
Nimejaribu kuchek ya hasheem thabeet, it was his last contract in 2014, average salary per year ni 2.3 billion Tsh. Dah sasa najiuliza ama wadau mnisaidie sjaona investment yoyote aliyofanya hizo hela zote, na nimesoma pia amepelekwa ligi daraja D ambapo naona kama yuko ktk.majaribio na timu moja hivi
 
Katika pitapita zangu kwenye mitandao nlikua curious kujua ndugu yetu na mtanzania mwenzetu kijana wetu na ambae ana inspire vijana wengi katika kutia juhudi na kufanikiwa kimaisha, mbwana samata,hapo alipo kwa mwezi anapokea kiasi cha Tsh.45,000,000/= kwa exchange rate ya siku ya leo ya euro mana they are paid in euro's. Its lot of money if you ask me for a tanzanian player like him playing abroad.
Anyway hio ni kwa samatta. Sijamskia kabisa braza hasheem thabit mana ndo alikua anaongoza kwa tanzania sports players ambao wanalipwa pesa ndefu. Embu tujuzwe alipo.huyu bwana mdogo.
Jamaaa yuko vzur
 
Back
Top Bottom