salehe ally makala hii ulinena ukweli kabisa kuhusu jay dee

Wote mliochangia mmenifurahisha sana,sasa ukweli umeanza kujulikana na wananchi watapima nani mkweli na ninani muongo,wapi bwa 'nchuchu!!!!! Heloo!!
 
alisahau kora alibebwa sana jina la .... Likakatwa likapelekwa la kwake.
Kipindi hiko mke wa boss.
Btn msisahau wote wafanyabiashara tu.
Mwisho wa siku watapatanishwa na waziri wa starehe.

uuuuuuwiiiii, waziri wa starehee kiukweli utasikia anafanya masuluisho, saa ile bifu ya sugu itakua imerudi au laah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…