Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utopolo watabisha
Huyo jembe ni mkia lia lia,akiweka takwimu hapo ataaibikaAweke Takwimu zao tuone nani zaidi
Sasa jitu lenyewe linajiita chizi, unategemea nini hapo kichwani [emoji848]Kwa hiyo akiandika yeye ndo dunia imeisha mama?
chama na faisal wamekutana mechi zaidi ya 5 kwa kumbukumbu za haraka chama kaonekana mechi moja tu ya ushindi wa 4-1 tangu hapo ajawahi fanya jambo lolote la maana
ila jamaa anasema wamekutana na faisal anaujua mziki wa chama, unatafuta mziki gani huo upati
basi unagundua ni mahaba ya jamaa kwa chama ila kiuwezo chama kwa faisal hamfikiii
Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards ni mazuzu sijapata kuona.chama na faisal wamekutana mechi zaidi ya 5 kwa kumbukumbu za haraka chama kaonekana mechi moja tu ya ushindi wa 4-1 tangu hapo ajawahi fanya jambo lolote la maana
ila jamaa anasema wamekutana na faisal anaujua mziki wa chama, unatafuta mziki gani huo upati
basi unagundua ni mahaba ya jamaa kwa chama ila kiuwezo chama kwa faisal hamfikiii
chama na faisal wamekutana mechi zaidi ya 5 kwa kumbukumbu za haraka chama kaonekana mechi moja tu ya ushindi wa 4-1 tangu hapo ajawahi fanya jambo lolote la maana
ila jamaa anasema wamekutana na faisal anaujua mziki wa chama, unatafuta mziki gani huo upati
basi unagundua ni mahaba ya jamaa kwa chama ila kiuwezo chama kwa faisal hamfikiii
Kumtizama chama kwa dakika anazocheza uwanjani, inaongeza nguvu za kiume
[emoji23] [emoji23] [emoji23]