ielewemitaa JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 10,764 Reaction score 9,477 Mar 22, 2022 #21 Bujibuji Simba Nyanaume said: Ufalme wa Simba umefitinika, mnagombana wenyewe kwa wenyewe. Wawa ni 51 yrs sasa, Onyango 52, Kagere 48. Mnategemea nini? Hiyo sio timu ya mpira ila ni timu ya makumbusho ya vipaji vya mpira Click to expand... Hizi akili za mzee Mpili kabisa
Bujibuji Simba Nyanaume said: Ufalme wa Simba umefitinika, mnagombana wenyewe kwa wenyewe. Wawa ni 51 yrs sasa, Onyango 52, Kagere 48. Mnategemea nini? Hiyo sio timu ya mpira ila ni timu ya makumbusho ya vipaji vya mpira Click to expand... Hizi akili za mzee Mpili kabisa
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,107 Reaction score 160,001 Mar 22, 2022 #22 ielewemitaa said: Hizi akili za mzee Mpili kabisa Click to expand... Vijemba vya Simba ni age mates wa Mzee Mpili
ielewemitaa said: Hizi akili za mzee Mpili kabisa Click to expand... Vijemba vya Simba ni age mates wa Mzee Mpili
Proved JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 32,639 Reaction score 42,908 Mar 22, 2022 #23 Orketeemi said: Nabet Simba anakwenda kuadhibiwa na USGN pale pale kwa Mkapa na kufurushwa mashindanoni. Click to expand... Dah!..tusubiri tu baada ya dakika 90.
Orketeemi said: Nabet Simba anakwenda kuadhibiwa na USGN pale pale kwa Mkapa na kufurushwa mashindanoni. Click to expand... Dah!..tusubiri tu baada ya dakika 90.