Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Siku chache kabla ya pambano la ugenini dhidi ya Asec Mimosas ,, boss mkubwa wa Simba Try Again anasikika akitamba kwamba Simba itasajili Wachezaji wanne wa kigeni mwishoni mwa msimu. Kipigo dhidi ya Asec kilianzia hapo.
Twende taratibu.
Kwa mujibu wa KANUNI za TFF kila Klabu nchini inaruhusiwa kusajili Wachezaji wa kigeni si zaidi ya 12.
Pale Simba tayari kuna maproo 12 ,, nakutajia Chama, Bwalya , Lwanga, Sakho, Kanoute, Wawa, Kagere, Morrison, Onyango, Inonga, Mugalu na Peter Banda.
Kwa maana hiyo ili Simba iweze kusajili maproo wengine wanne italazimika kuwafuta kazi maproo wanne ambao wapo kikosini Kwa sasa. Tim Inaelekea kwenye mechi ngum na muhim then unatoa maneno Kama haya Kwa malengo gani?
Watu wanapambana uwanjani lakin uongoz umetoa ahadi ya kuwafuta kazi Wachezaji wanne wa kigeni mwisho wa msimu. Hii ni nini kisaikolojia Kama si kuwaweka Wachezaji kwenye presha isiyo na msingi wowote?
Nabet Simba anakwenda kuadhibiwa na USGN pale pale kwa Mkapa na kufurushwa mashindanoni.
Tangu kifo cha Comred Hans Poppe ilisemwa pale Simba hakuna tena mwenye uwezo wa kuisogeza timu mbele. Waliowengi walikuwa wanaishi kwenye kivuli cha Hans Poppe.
Twende taratibu.
Kwa mujibu wa KANUNI za TFF kila Klabu nchini inaruhusiwa kusajili Wachezaji wa kigeni si zaidi ya 12.
Pale Simba tayari kuna maproo 12 ,, nakutajia Chama, Bwalya , Lwanga, Sakho, Kanoute, Wawa, Kagere, Morrison, Onyango, Inonga, Mugalu na Peter Banda.
Kwa maana hiyo ili Simba iweze kusajili maproo wengine wanne italazimika kuwafuta kazi maproo wanne ambao wapo kikosini Kwa sasa. Tim Inaelekea kwenye mechi ngum na muhim then unatoa maneno Kama haya Kwa malengo gani?
Watu wanapambana uwanjani lakin uongoz umetoa ahadi ya kuwafuta kazi Wachezaji wanne wa kigeni mwisho wa msimu. Hii ni nini kisaikolojia Kama si kuwaweka Wachezaji kwenye presha isiyo na msingi wowote?
Nabet Simba anakwenda kuadhibiwa na USGN pale pale kwa Mkapa na kufurushwa mashindanoni.
Tangu kifo cha Comred Hans Poppe ilisemwa pale Simba hakuna tena mwenye uwezo wa kuisogeza timu mbele. Waliowengi walikuwa wanaishi kwenye kivuli cha Hans Poppe.