Salim Abdallah 'Try Again' na Murtaza Mangungu ikiwapendezeni nawaomba msiende Uwanjani Kwa 'Mkapa Derby' hii ijayo zingatieni huu Ushauri wangu

Salim Abdallah 'Try Again' na Murtaza Mangungu ikiwapendezeni nawaomba msiende Uwanjani Kwa 'Mkapa Derby' hii ijayo zingatieni huu Ushauri wangu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna Wapumbavu wanataka Kuwaangushieni Zigo la Mavi ( Nnya ) pale Timu ikifungwa basi Lawama zote zielekezwe Kwenu wakati GENTAMYCINE nina uhakika kuwa Adui namba moja wa Simba SC yetu ni Mwekezaji Mohammed Ghullum Dewji ( Tajiri Kibyongo ) na kamwe wala siyo nyie na hata kama ni kweli nanyi mna Mapungufu yenu ( kama labda ya Upigaji ) bado nasema lawama zimwendee Yeye Tajiri Kibyongo Mo Dewji.

Na taarifa za ndani kabisa nilizopenyezewa japo sasa niko mbali na Tanzania ( ila ni katika Jumuiya yetu ya Afrika Mashariki ) ni kwamba tayari kuna Watu wameshaandaliwa ( tena kwa Kulipwa kabisa ) wa Matawi na wasemaji Uchwara kuwa Siku ya Derby tukifungwa tu Watu wa Media wawapelekee Mic na Wawachafueni. Nawapendeni na ndiyo maana leo nawaombeni Siku ya Derby msiende kwa Mkapa acheni Wauwane wao.
 
Kuna Wapumbavu wanataka Kuwaangushieni Zigo la Mavi ( Nnya ) pale Timu ikifungwa basi Lawama zote zielekezwe Kwenu wakati GENTAMYCINE nina uhakika kuwa Adui namba moja wa Simba SC yetu ni Mwekezaji Mohammed Ghullum Dewji ( Tajiri Kibyongo ) na kamwe wala siyo nyie na hata kama ni kweli nanyi mna Mapungufu yenu ( kama labda ya Upigaji ) bado nasema lawama zimwendee Yeye Tajiri Kibyongo Mo Dewji.

Na taarifa za ndani kabisa nilizopenyezewa japo sasa niko mbali na Tanzania ( ila ni katika Jumuiya yetu ya Afrika Mashariki ) ni kwamba tayari kuna Watu wameshaandaliwa ( tena kwa Kulipwa kabisa ) wa Matawi na wasemaji Uchwara kuwa Siku ya Derby tukifungwa tu Watu wa Media wawapelekee Mic na Wawachafueni. Nawapendeni na ndiyo maana leo nawaombeni Siku ya Derby msiende kwa Mkapa acheni Wauwane wao.
Nimekuona maeneo ya Guvnor Club Kampala, karibu na ile highway ya kuelekea Jinja
 
Nimekuona maeneo ya Guvnor Club Kampala, karibu na ile highway ya kuelekea Jinja
Acha uwongo wako Mkuu Saa 4 na Nusu nilitoka na Mwenyeji wangu kwenda Kololo kuangalia Nyumba ya Kuishi ambayo haiko mbali na Kololo Golf Court na Saa 5 kama na dakika 23 hivi akaniruisha hapa Hotelini na hata sikuwa kwa Miguu na kwa Gari la Serikali UG nililopanda bado usingeweza Kunitambua. Ila Kongole Kwako kwani una Kipaji cha Kuhisi au Kubahatisha japo Kwangu umekosea ila ni kweli niko nchini Uganda na nitakuwa huku Kikazi kwa muda kidogo.
 
Acha uwongo wako Mkuu Saa 4 na Nusu nilitoka na Mwenyeji wangu kwenda Kololo kuangalia Nyumba ya Kuishi ambayo haiko mbali na Kololo Golf Court na Saa 5 kama na dakika 23 hivi akaniruisha hapa Hotelini na hata sikuwa kwa Miguu na kwa Gari la Serikali UG nililopanda bado usingeweza Kunitambua. Ila Kongole Kwako kwani una Kipaji cha Kuhisi au Kubahatisha japo Kwangu umekosea ila ni kweli niko nchini Uganda na nitakuwa huku Kikazi kwa muda kidogo.
[emoji23][emoji23] Genta unasifa wewe Mnyamulenge
 
Back
Top Bottom