Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waswahili jamaniNdio mhafifhina07
Mkuu huyo alikuwa Balozi, aligombea Ukatibu Mkuu wa U.N. Katibu Mkuu wa OAU, Waziri wa Ulinzi na hatimaeNdooooo nani huyo
A shadow of who he was.
Itakuwa kengele ya kwanza imelia
Mkuu huyo alikuwa Balozi, aligombea Ukatibu Mkuu wa U.N.,, Katibu Mkuu wa OAU, Waziri wa Ulinzi na hatimae
Waziri Mkuu. Amegombea URAIS mara mbili. Alipendwa sana na wananchi, ila fitina za mimi ni Mbara na wao ni Wapemba, au mimi ni Mzanzibara na wao ni Wazanzibari zili muhujumu sana.
Mkuu mimi nimetoa taarifa kama alivyo hitaji mtoa hoja. Aidha maswali yako yapo kwenye hoja yangu kwa mtoa hoja. Kama una ya ziada tujuze ili tupate elimu.Alipendwa na wananchi kwa lipi ?
Aliwahi kusimia nini ??
Kama alipendwa mbona "alifanyiwa hujuma ?
Mbona Mwinyi, Samia, Shein hawakifanyiwa hujuma' ?
Exposure yote ya ku observe siasa na tawala za dunia bado haelewi Tanzania haitawaliwi na jeshi, anavaa magwanda ya jeshi kwa vile eti waziri wa ulinzi!
Upeo wa civic responsibility and civic knowledge mdogo.
Kabisa huyo ndio Alitakia awe Rais wetu wa awamu ya piliAngekuwa Rais bora sana nchi hii kwa exposure aliyokuwa nayo kama sio figisu na kuchafuliwa na wanamtandao.
Au ya tatu!Kabisa huyo ndio Alitakia awe raisi wetu wa awamu ya pili
Wakatuletea bomu so sadKabisa huyo ndio Alitakia awe raisi wetu wa awamu ya pili
Ulisomea wapi hiyo historia?Au ya tatu!
Ukisoma historia, Wakati wa kumtafuta mrithi wa Rais Mwinyi enzi hizo watu wafuatao walikuwa midomoni mwa watanzania: Lowasa, Kikwete na yeye Salimu. Halafu sasa, Salim alikuwa anawika ile mbaya kimataifa na alionesha uzalendo wa hali ya juu kwa taifa lake, aliaminika. By comparing with the other two candidates, he was a Statesman indeed.
Anyway, kisicho riziki hakiliki. Pamoja na kuonekana kutoshea, sadly, hakuwahi kupata hiyo nafasi.
Mzee kachoka.