Salim Ahmed Salim alikuwa na nyota na alipendwa

Salim Ahmed Salim alikuwa na nyota na alipendwa

Mkuu huyo alikuwa Balozi, aligombea Ukatibu Mkuu wa U.N.,, Katibu Mkuu wa OAU, Waziri wa Ulinzi na hatimae
Waziri Mkuu. Amegombea URAIS mara mbili. Alipendwa sana na wananchi, ila fitina za mimi ni Mbara na wao ni Wapemba, au mimi ni Mzanzibara na wao ni Wazanzibari zili muhujumu sana.

Hapo ndo nakereka, miaka ya karibuni tumekuwa tukichagua mijitu ya hovyo hovyo kuanzia Serikali za mitaa kwasababu ya siasa za majitaka. Watu wenye sifa na uadilifu wakiachwa tu.
 
Mkuu mimi nimetoa taarifa kama alivyo hitaji mtoa hoja. Aidha maswali yako yapo kwenye hoja yangu kwa mtoa hoja. Kama una ya ziada tujuze ili tupate elimu.

Wewe ndio umesema alipendwa na watu na alifanyiwa hujuma.

Alipendwa na watu kwa lipi?

Basi siasa za zamani zilikiwa rahisi sana, mtu anapendwa bure bure tu amesimama kama shina la mti hafanyi lolote, tunasema anapendwa!
 
Wewe ndio umesema alipendwa na watu na alifanyiwa hujuma.

Alipendwa na watu kwa lipi?

Basi siasa za zamani zilikiwa rahisi sana, mtu anapendwa bure bure tu amesimama kama shina la mti hafanyi lolote, tunasema anapendwa!
Mkuu, ni kwamba alipendwa kwa utendaji wake wa kazi uliofuata sheria n.a. taratubu zote za kazi. Alikuwa mnyenyekevo kwa wote. Zamani kazi zilikuwa zinafanyika kwa mujibu wa kanuni za Utumishi Umaa, hakuna kujimwambafai ama kujitangaza tangaza kuwa fulani amefanya hivi! Suala la Kujikomba-komba ama uchawa halikuwepo. Aidha kutokana uadilifu na uchapa kazi wake ndio uliopelekea hata kuchaguliwa kugombea Ukatiibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na hatimaye akagombea Ukatibu Mkuu wa Jumuia ya Africa.. Hii inatosha kuthibitisha kwanba alikuwa mchapa kazi na mtu makini sio kwa Tanzania tu bali hata Nje ya Afrika. Au Mkuu ulitaka nikutajie kwamba amejenga madaraja au amenunua meli na ndege kwa kodi za Wananchi ndio unaona amefanya kazi iliyotukuka? hao ni wa ten percent tu.
 
Naskia enzi hizo dingi alimpanga mzee rusksa kwamba kwenye kikao cha NEC akiulizwa km anataka urais akatae.dingi alitaka iwe hivyo sababu alishampanga mtu wake ili ruksa akikataa amuulize na yule aliemtaka yeye.
Kuna dingi mwingine akamfata ruksa akambonyeza wee acha uboya ukiulizwa kubali.ndio hivyo akamuuza dingi na dingi akakosa jinsi ya kufanya
 
Naskia enzi hizo dingi alimpanga mzee rusksa kwamba kwenye kikao cha NEC akiulizwa km anataka urais akatae.dingi alitaka iwe hivyo sababu alishampanga mtu wake ili ruksa akikataa amuulize na yule aliemtaka yeye.
Kuna dingi mwingine akamfata ruksa akambonyeza wee acha uboya ukiulizwa kubali.ndio hivyo akamuuza dingi na dingi akakosa jinsi ya kufanya
Hii ni hadithi ya kutunga haina ukweli wowote ule!!
 
Mkuu huyo alikuwa Balozi, aligombea Ukatibu Mkuu wa U.N. Katibu Mkuu wa OAU, Waziri wa Ulinzi na hatimae
Waziri Mkuu. Amegombea URAIS mara mbili. Alipendwa sana na wananchi, ila fitina za mimi ni Mbara na wao ni Wapemba, au mimi ni Mzanzibara na wao ni Wazanzibari zili muhujumu sana.
Ongezea kuwa mwaka 2005 Wazanzibar wenzake walimhujumu huku Watanganyika wakitaka awe Rais wa Tanzania.
 
Naskia enzi hizo dingi alimpanga mzee rusksa kwamba kwenye kikao cha NEC akiulizwa km anataka urais akatae.dingi alitaka iwe hivyo sababu alishampanga mtu wake ili ruksa akikataa amuulize na yule aliemtaka yeye.
Kuna dingi mwingine akamfata ruksa akambonyeza wee acha uboya ukiulizwa kubali.ndio hivyo akamuuza dingi na dingi akakosa jinsi ya kufanya
Ndo maana awamu ya 2 haina hata mambo mengi au heka heka za mitifuano baina ya wagombea.

Kumbe mzee ruksaa ali slide tyuuh,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom