Salim Kikeke ajiunga rasmi na Crown FM & TV

STRANGE, UTOKE BBC UJE KWA WASWAHLI! HAWA , ZUHURA SAWA, ANAOGELEA KWENYE HELA.....HAWA?MHHHHH
 
kila la kheri
 
Ili kumuondoa hapo uteuzi dakika yeyote!
 
Ali Kiba Hana uwezo wa kumwajiri Kikeke ninachokiona hapa inawezekana Salim ni mmiliki mwenza ila tu Ali Kiba kwasababu ni brand wameamua iende hivyo.
 
Wabongo bana, kwahiyo kikeke ana hela kuzidi Kiba? Hivi muziki mnauchukuliaje?

Mziki una ela ila kikeke anapesa aisee weka mbali na watoto kikeke anapesa tena nasisitiza kikeke anapesa bro [emoji23][emoji23]
 
Salim kikeke ni mmiliki wa hio media,Alikiba hana uwezo wakumlipa salim
 
Naona kikeke anakwenda chalinze
Kuwahoji wakina jk na mtoto wake
Naona anaanza na familia#1 tz
Wenye nchi

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…