sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Brand ya Kiba ni kubwa ila amekuwa hajui kuitumia ngoja wenye akili wamuamshe usingizinIla mjini connection tu, media haina hatawezi washaanza kupata deals, leo wako Chalinze!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Brand ya Kiba ni kubwa ila amekuwa hajui kuitumia ngoja wenye akili wamuamshe usingizinIla mjini connection tu, media haina hatawezi washaanza kupata deals, leo wako Chalinze!
Hatari sana, SI unaa uli ona siku ya ufubguzi!?, Ile kauli ya kijana!?Ila mjini connection tu, media haina hatawezi washaanza kupata deals, leo wako Chalinze!
Wabongo bana, kwahiyo kikeke ana hela kuzidi Kiba? Hivi muziki mnauchukuliaje?kiuhalisia kikeke ndio kamuajili Alikiba maana anamtumia kwa ajili ya fan base aliyo nayo ku push media yake good play mjini akili Mtu wangu
STRANGE, UTOKE BBC UJE KWA WASWAHLI! HAWA , ZUHURA SAWA, ANAOGELEA KWENYE HELA.....HAWA?MHHHHHMtangazaji Nguli, Mwanahabari na Mwandishi wa habari mashuhuri Afrika Mashariki na Kati, Salim Kikeke amejiunga na Redio/TV ya Crown FM/TV inayomilikiwa na Alikiba.
Hii ni baada ya Alikiba kusasisha video inayoonyesha Salim Kikeke akikataa kupokea simu ya Wacha Fu FM inayotafsiriwa kuwa ni Wasafi FM, ya Kisingeli FM (EFM) na Icecream TV (Azam TV) kisha kupokea simu ya Alikiba (Crown FM/TV). Katika Video hiyo, Alikiba ameandika yafuatayo:
"My Brother @salim_kikeke hii ilikuwa ndoto na maono tuliyokuwa nayo muda mrefu. Wakati unafanya maamuzi ya kurudi Nyumbani Tanzania tulipata nafasi ya kuzungumza na nikakueleza kiu yangu yakutaka kufanya kazi na wewe Gwiji, Nguli na Mtaalam wa Tasnia hii ya Habari Afrika na Dunia.
Najua Simu zilikuwa nyingi sana lakini uliona CROWN ni sehemu sahihi sana kwako. Karibu kuwa sehemu ya Historia tunayoenda kuiandika pamoja.
Nimekuvisha Taji na CROWN Media tunaamini Hesabu zetu za Kimkakati zimekaa Sawa. Karibu sana Nyumbani @crownfmtz na @crowntvtz" ameandika Alikiba, Msanii wa muziki wa Tanzania na Mmiliki wa Redio/TV Crown.
View attachment 2976728
kila la kheriMtangazaji Nguli, Mwanahabari na Mwandishi wa habari mashuhuri Afrika Mashariki na Kati, Salim Kikeke amejiunga na Redio/TV ya Crown FM/TV inayomilikiwa na Alikiba.
Hii ni baada ya Alikiba kusasisha video inayoonyesha Salim Kikeke akikataa kupokea simu ya Wacha Fu FM inayotafsiriwa kuwa ni Wasafi FM, ya Kisingeli FM (EFM) na Icecream TV (Azam TV) kisha kupokea simu ya Alikiba (Crown FM/TV). Katika Video hiyo, Alikiba ameandika yafuatayo:
"My Brother @salim_kikeke hii ilikuwa ndoto na maono tuliyokuwa nayo muda mrefu. Wakati unafanya maamuzi ya kurudi Nyumbani Tanzania tulipata nafasi ya kuzungumza na nikakueleza kiu yangu yakutaka kufanya kazi na wewe Gwiji, Nguli na Mtaalam wa Tasnia hii ya Habari Afrika na Dunia.
Najua Simu zilikuwa nyingi sana lakini uliona CROWN ni sehemu sahihi sana kwako. Karibu kuwa sehemu ya Historia tunayoenda kuiandika pamoja.
Nimekuvisha Taji na CROWN Media tunaamini Hesabu zetu za Kimkakati zimekaa Sawa. Karibu sana Nyumbani @crownfmtz na @crowntvtz" ameandika Alikiba, Msanii wa muziki wa Tanzania na Mmiliki wa Redio/TV Crown.
View attachment 2976728
Ili kumuondoa hapo uteuzi dakika yeyote!Mtangazaji Nguli, Mwanahabari na Mwandishi wa habari mashuhuri Afrika Mashariki na Kati, Salim Kikeke amejiunga na Redio/TV ya Crown FM/TV inayomilikiwa na Alikiba.
Hii ni baada ya Alikiba kusasisha video inayoonyesha Salim Kikeke akikataa kupokea simu ya Wacha Fu FM inayotafsiriwa kuwa ni Wasafi FM, ya Kisingeli FM (EFM) na Icecream TV (Azam TV) kisha kupokea simu ya Alikiba (Crown FM/TV). Katika Video hiyo, Alikiba ameandika yafuatayo:
"My Brother @salim_kikeke hii ilikuwa ndoto na maono tuliyokuwa nayo muda mrefu. Wakati unafanya maamuzi ya kurudi Nyumbani Tanzania tulipata nafasi ya kuzungumza na nikakueleza kiu yangu yakutaka kufanya kazi na wewe Gwiji, Nguli na Mtaalam wa Tasnia hii ya Habari Afrika na Dunia.
Najua Simu zilikuwa nyingi sana lakini uliona CROWN ni sehemu sahihi sana kwako. Karibu kuwa sehemu ya Historia tunayoenda kuiandika pamoja.
Nimekuvisha Taji na CROWN Media tunaamini Hesabu zetu za Kimkakati zimekaa Sawa. Karibu sana Nyumbani @crownfmtz na @crowntvtz" ameandika Alikiba, Msanii wa muziki wa Tanzania na Mmiliki wa Redio/TV Crown.
View attachment 2976728
Wabongo bana, kwahiyo kikeke ana hela kuzidi Kiba? Hivi muziki mnauchukuliaje?
Weka hiyo clip 😀😀😀Wacha Fu FM inayotafsiriwa kuwa ni Wasafi FM, ya Kisingeli FM (EFM) na Icecream TV (Azam TV)
Angalia YouTube mkuuWeka hiyo clip 😀😀😀
huwezi elewa hii kitu so stay calmWabongo bana, kwahiyo kikeke ana hela kuzidi Kiba? Hivi muziki mnauchukuliaje?