Salim Kikeke na Charles Hilary wa BBC SWAHILI, hakunaga kama hawa jamaa...

Salim Kikeke na Charles Hilary wa BBC SWAHILI, hakunaga kama hawa jamaa...

Nani Juma Nkamia mbona mweupe tu Sued Mwinyi peke yake anamkimbiza mbaya,hawezi kuwa level ya Charles bana.

Kaka akina charles,salim ni kwasababu tu wap BBC kitambo, je na akina nkamia, sued, n.k wangekuwepo huko nathani kusingekuwa na tofauti sana.
 
watangazaji wa itv na tbc bado hawajawa serious............MIMI NI JOOOHHHNNN MAAARAAATUUUUUUUU WA ITV.....wat the fack
mmh jaman sijui tatizo ni nini. mbona hawa walikuwa watangazaji wa ITV, alikuwa akitangaza habari kwa lugha ya kiingereza saa 4 usiku[ siku hizi hakipo] na charles hilal alikuwa radio one.
 
BBC swahili DIRA YA DUNIA wameanza kuniudhi siku za karibuni hasa baada ya kuanza kutangaza raia wa kenya kama watangazaji ambao hata kiswahili hawakielewi vizuri inaboa sana na hii ni baada ya TIDO kuondoka kama mkuu wa idhaa ya kiswahili yupo mkenya mmoja pale sasa kama Bosi wa idhaa ya kiswahili.Nawapenda sana akina Zuhura Yunis, Zawad Machibya, Salim Kikeke, Charles Hillal. Wanaoboa wanaongozwa na Odhiambo Joseph, Ngenda Angela na wenzake .


Kweli ndugu...mi mwenyewe nimekuwa mvivu wa kuckiliza BBC kwa nyakati hizi KHERY kuwasubiria kina Kaka Hilali kwenye TV...Yaani wamejaa wakenya kiswahili hawajui vizuri basi tabu tupu...Yaan hawa jamaa ni wabinafsi sana mtu akishapewa nafasi anaanza kuwatafuta wakikuyu wenzake n.k....Yulee jamaa anaiharibu BBC swahili
 
watangazaji wa itv na tbc bado hawajawa serious............MIMI NI JOOOHHHNNN MAAARAAATUUUUUUUU WA ITV.....wat the fack

Hahaahahahhahaha,,pokea like mkuu!! Huyu jamaa ananikwazaga sana ase!! Bora niangalie CNN full day,, nikihitaj habar za nyumbani,,najikita JF
 
Kusema ukweli mimi huwa navutiwa sana na salim kikeke pamoja na charles hilali wakitangaza BBCSWAHILI Tv kupitia Startv hawa jamaa hasa salim ana rafudhi fulani ya mvuto inayotengeneza attention ya kumwangalia. Salimu kikeke amekuwa ni mmojawapo watangazaji wabunifu zaidi na huwaga napenda sana anapotangaza speed yake na unadhifu wake.
Watangazaji wa Tbc1, Itv na startv tujifunze kusoma habari kama hawa jamaa mpo slow sana mnaposoma habari hasa startv na itv.
Watz 2jifunie hawa watz wanaopeperusha bendera ye2 nje.


Ni kweli hasa Salim Kikeke anafanya kiswahili kiwe kizuri,kiwe na ladha!...ila wangekuwa wanabadilishana waje na wengine kama redioni.
 
watangazaji wa itv na tbc bado hawajawa serious............MIMI NI JOOOHHHNNN MAAARAAATUUUUUUUU WA ITV.....wat the fack

Hahahaha aisee...

Salim na zuhura yunus na da.zawadi.machibya naweza nkawasikiliza siku nzima..
 
BBC dira ya dunia ipo juu. salim kikeke ana mvuto wa ajabu, yani hutamani kubanduka kwenye runinga. habari ni nusu saa tu lakini uchambuzi ni wa kina na lugha imenyooka. wenzetu wa bongo, habari lisaa lizima lakini unaweza usikilize na usielewe, vihabari vingivingi maelezo hayaeleweki. media za tanzania jifunzeni kutoka kwa hawa wenzenu, mko slow sana ktk kutangaza na hamna mvuto kwa watu kuwatazama na kuwasikiliza. mkiendelea hivi, mtabakia kuwa local tu, u will never go beyond boarders/international, na ujio wa hivi ving'amuzi, mtashangaa mtakuwa mwajitazama wenyewe tu hakuna mtu atatazama habari zenu.
 
Back
Top Bottom