Nani Juma Nkamia mbona mweupe tu Sued Mwinyi peke yake anamkimbiza mbaya,hawezi kuwa level ya Charles bana.
mmh jaman sijui tatizo ni nini. mbona hawa walikuwa watangazaji wa ITV, alikuwa akitangaza habari kwa lugha ya kiingereza saa 4 usiku[ siku hizi hakipo] na charles hilal alikuwa radio one.watangazaji wa itv na tbc bado hawajawa serious............MIMI NI JOOOHHHNNN MAAARAAATUUUUUUUU WA ITV.....wat the fack
BBC swahili DIRA YA DUNIA wameanza kuniudhi siku za karibuni hasa baada ya kuanza kutangaza raia wa kenya kama watangazaji ambao hata kiswahili hawakielewi vizuri inaboa sana na hii ni baada ya TIDO kuondoka kama mkuu wa idhaa ya kiswahili yupo mkenya mmoja pale sasa kama Bosi wa idhaa ya kiswahili.Nawapenda sana akina Zuhura Yunis, Zawad Machibya, Salim Kikeke, Charles Hillal. Wanaoboa wanaongozwa na Odhiambo Joseph, Ngenda Angela na wenzake .
watangazaji wa itv na tbc bado hawajawa serious............MIMI NI JOOOHHHNNN MAAARAAATUUUUUUUU WA ITV.....wat the fack
Kusema ukweli mimi huwa navutiwa sana na salim kikeke pamoja na charles hilali wakitangaza BBCSWAHILI Tv kupitia Startv hawa jamaa hasa salim ana rafudhi fulani ya mvuto inayotengeneza attention ya kumwangalia. Salimu kikeke amekuwa ni mmojawapo watangazaji wabunifu zaidi na huwaga napenda sana anapotangaza speed yake na unadhifu wake.
Watangazaji wa Tbc1, Itv na startv tujifunze kusoma habari kama hawa jamaa mpo slow sana mnaposoma habari hasa startv na itv.
Watz 2jifunie hawa watz wanaopeperusha bendera ye2 nje.
watangazaji wa itv na tbc bado hawajawa serious............MIMI NI JOOOHHHNNN MAAARAAATUUUUUUUU WA ITV.....wat the fack