johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mtangazaji mahiri wa Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC mh Salim Kikeke ameteuliwa kuwa balozi wa Simba SC nchini Uingereza.
Klabu ya Simba imesema inategemea Kikeke atawapaisha sana kimataifa ikiwemo kuwasajilia wachezaji kutoka ligi kuu ya nchi hiyo yaani Premier League.
Chanzo: Dira tv!
Klabu ya Simba imesema inategemea Kikeke atawapaisha sana kimataifa ikiwemo kuwasajilia wachezaji kutoka ligi kuu ya nchi hiyo yaani Premier League.
Chanzo: Dira tv!