Salim Kikeke: Wawekezaji wanakwepa kuwekeza Tanzania kwa sababu ya msururu wa kodi pamoja na Urasimu

Salim Kikeke: Wawekezaji wanakwepa kuwekeza Tanzania kwa sababu ya msururu wa kodi pamoja na Urasimu

Kodi gani wahuni tu kama walivyo wafanyabiashara wa Kitanzania.
Tanzania watu hawalipi kodi sio wazawa wala wageni,na wachache wanaolipa zinaishia mifukoni mwa Officers wa TRA na Politicians wakiwemo viongozi wenu wakuu wa Nchi.
Ni mjinga na mpumbavu pekee anaweza sema Tanzania kuna msururu wa kodi.
 
Kinachofurahisha zaidi wanasiasa wakisikia kauli kama hizi kwamba nchi imejaa msururu wa kodi hadi kukimbiza wawekezaji wanakimbilia kumbana mfanyabiashara mzawa wakidhani ndiyo wamefanya kitu kumbe wamefungua njia kwa maafisa kodi ku-negotiate na wafanyabiashara nje ya mfumo mwisho kula rushwa.
 
Kila nchi kodi ipo
Hakuna aliyesema kuna nchi haina utaratibu wa kulipa kodi kasome uelewe nilichokiandika.

Serikali ikitetemeka kwamba ishushe kodi kwa wawekezaji wa nje ili waje kama haipo tayari kushusha au kufuta kabisa baadhi ya anasa zake ikiwemo kubana baadhi ya sector muhimu kama madini mbuga mali asili zote lengo hizo sehemu zilete hela stahiki itajikuta ikiwabana wafanyabiashara wa ndani unga unga ambao mwisho wa siku watapita pembeni na maafisa kodi serikali ikose hata kile kidogo ilichokuwa inakusanya kutoka kwao so cha kufanya serikali isimamie sheria ilizojitungia bila kuyumbishwa na yeyote wala chochote.
 
Raia tuna haki na dhima ya kukumbushana wajibu wetu wa kulipa kodi....

Inawezekanaje tukauendesha uchumi tuutakao kwa WALIPA KODI MILIONI 3 kati ya sisi raia milioni 62?!!!

Tunataka nchi itufanyie....imeshatufanyia sana mathalani AMANI NA UTULIVU TULIONAO tukiendelea kubangaizia shughuli zetu bila bugdha kama Somalia ,Burundi ,Rwanda na Sudan....

Swali....

Je tumeifanyia nini NCHI YETU ?!!

Je tunaifanyia nini NCHI YETU ?!!

Hapa ndipo ilipo MIILI YETU tukiwa hai ,na makaburi yetu tukizikwa na MIZIMU YETU baadaye haitozungukia Uganda ,Kenya wala Malawi bali nyumbani Tanzania[emoji7]

#Tutafakari
 
Kodi gani wahuni tu kama walivyo wafanyabiashara wa Kitanzania.
Tanzania watu hawalipi kodi sio wazawa wala wageni,na wachache wanaolipa zinaishia mifukoni mwa Officers wa TRA na Politicians wakiwemo viongozi wenu wakuu wa Nchi.
Ni mjinga na mpumbavu pekee anaweza sema Tanzania kuna msururu wa kodi.
[emoji7]
 
Raia tuna haki na dhima ya kukumbushana wajibu wetu wa kulipa kodi....

Inawezekanaje tukauendesha uchumi tuutakao kwa WALIPA KODI MILIONI 3 kati ya sisi raia milioni 62?!!!

Tunataka nchi itufanyie....imeshatufanyia sana mathalani AMANI NA UTULIVU TULIONAO tukiendelea kubangaizia shughuli zetu bila bugdha kama Somalia ,Burundi ,Rwanda na Sudan....

Swali....

Je tumeifanyia nini NCHI YETU ?!!

Je tunaifanyia nini NCHI YETU ?!!

Hapa ndipo ilipo MIILI YETU tukiwa hai ,na makaburi yetu tukizikwa na MIZIMU YETU baadaye haitozungukia Uganda ,Kenya wala Malawi bali nyumbani Tanzania[emoji7]

#Tutafakari
Umeongea kizalendo sana
 
Huyu Salim Kikeke na Redio yao hii Crown Media wako juu sana na wanakuja kwa kasi kubwa kwani interview zao zimeenda mbali.

Sikiliza huu mjadala mpaka mwisho.
View attachment 3080039
Kwa mtu mwenye akili timamu sawa sawa kabisa na ambaye anaijua vizuri nchi hii ya Tanzania pamoja na Utawala wake jinsi ulivyo, Kamwe hawezi kuthubutu kufikiria kuja kuwekeza Tanzania. Never.
Kwa madhila na misukosuko ambayo Utawala umekuwa wakiwafanyia Wafanyabiashara na wawekezaji katika nchi hii imekuwa funzo tosha kabisa kwa Watu kwamba wasifikirie kuwekeza katika nchi hii ya Tanzania. Siasa chafu imekuwa ikiharibu sana nchi hii.
Jaribu kufikiria misukosuko waliyotiwa Wawekezaji au wafanyabiashara Hawa,
1. Mo Dewji kutekwa na Watu wasiojulikana.
2. Marehemu Yusuf Manji kubambikiwa na kupakaziwa Kesi nzito nzito.
3. Watanyaniashara 'kulanguliwa' Kodi kubwa kubwa na Kisha kuporwa fedha zao zilizopo kwenye akaunti za benki.
4. Makontena ya Unga wa ngano ya Mzee Bakhresa kupokonywa bandarini na Kisha unga wote kumwagwa baharinikwa sababu za chuki za kisiasa mwanzoni mwa miaka ya 1990s, n.k.

Je, Mwekezaji gani ambaye anapenda kuwekeza kwenye nchi yenye mambo ya namna hii???
 
Hamna wawekezaji hapo ni matapeli tu hao.

Serious investors wanafahamika tu.

Mbona Dangote kaja na kujenga kiwanda chake anafanya biashara na kupata faida??

Sioni haja ya kubadili sheria zetu ili kuruhusu malaghai na matapeli yaje kutuibia.
 
Back
Top Bottom