Salim Kikeke: Wawekezaji wanakwepa kuwekeza Tanzania kwa sababu ya msururu wa kodi pamoja na Urasimu

Salim Kikeke: Wawekezaji wanakwepa kuwekeza Tanzania kwa sababu ya msururu wa kodi pamoja na Urasimu

Sio kwamba wewe ndio una matatizo ya uelewa? Unaona kabisa anamuhoji Kafulira na anatoa majibu ya nini Serikali imefanya then unaongea shit Sasa wewe ni mzima kweli?
nimemjibu niliyemquote simuongelei Kafulila. hali ya kikodi na matumizi ya serikali haviridhishi kwa ujumla wake nikahitimisha kwa kusema mambo ni yanajiendea kama kichwa cha mwendawazimu hapo ukimani.
 
Hapa tu jf ukiangalia comment za watu ndo utajua nchi hii ina machizi kibao.Acha viongozi wale maisha km wananchi wenyewe ni machizi kiasi hiki 🥱🥱.
Hivi mnao sema tz wanao lipa kodi ni wachache vichwani mwenu mna mavi?
Kodi za Majengo,mitandao ya simu na bidhaa tunazo nunua kama maji bia nk..hazijakatwa kodi ama nyie kodi mpaka mpigiwe hodi lipa kodi ndo mjue mnalipa kodi?
Hapo tu unatumia bando hilo bando umelilipia koditayari ..sasa kodi mnazo taka ndo mjue mnalipa kodi ni zipi labda ...Eti wanao lipa kodi ni milion tatu dah ??? Acha tupigwe tu akili hatuna km kodi ya gari tu ni sawa na bei ya gari bado mtu anaibuka anasema tz hatulipi kodi,🥵Hebu ninyamaze mie.
 
Raia tuna haki na dhima ya kukumbushana wajibu wetu wa kulipa kodi....

Inawezekanaje tukauendesha uchumi tuutakao kwa WALIPA KODI MILIONI 3 kati ya sisi raia milioni 62?!!!

Tunataka nchi itufanyie....imeshatufanyia sana mathalani AMANI NA UTULIVU TULIONAO tukiendelea kubangaizia shughuli zetu bila bugdha kama Somalia ,Burundi ,Rwanda na Sudan....

Swali....

Je tumeifanyia nini NCHI YETU ?!!

Je tunaifanyia nini NCHI YETU ?!!

Hapa ndipo ilipo MIILI YETU tukiwa hai ,na makaburi yetu tukizikwa na MIZIMU YETU baadaye haitozungukia Uganda ,Kenya wala Malawi bali nyumbani Tanzania[emoji7]

#Tutafakari
Ungeeleweka vyema kama ungedai uwajibikaji kwa viongozi ambao baadhi yao wamejitungia Sheria kabisa ya kutoshtakiwa kwakuwa wao ni malaika hawakosei,

Nakusihi pitia ripoti za CAG uone uozo unaofanywa na viongozi wako kwenye hizo Kodi chache, sasa watu wote wanaostahili kulipa Kodi wakilipa si viongozi wako watavimbilwa kwa shibe ya wizi wa Kodi zetu wanyonge?
 
nimemjibu niliyemquote simuongelei Kafulila. hali ya kikodi na matumizi ya serikali haviridhishi kwa ujumla wake nikahitimisha kwa kusema mambo ni yanajiendea kama kichwa cha mwendawazimu hapo ukimani.
Matumizi ya Serikali na mazingira ya uwekezaji wapi na wapi?
 
Hoja dhaifu
Kwanini useme ni hoja dhaifu na usilete hoja yenye nguvu. Ogopa nchi ikiwa na wajinga wengi wanaweza kuchagua Rais na hii ndio maana baadhi ywa wanafasafa wa demokrasia kama Plato wanakataa mfumo wa demokrasia ya "wengi wape" kwa sababu wanaongozwa na mjinga na kura zinapigwa na wajinga kwahiyo mambo ya kijinga ndio yanatamalaki katika jamii kwa kivuli cha demokrasia ya wengi wape.
Tunahitaji watu wenye akili na maono wanaoona mbali kwa mustakabali wa jamhuri (state). Unajua mpaka sasa wenza wa vioongozi wanalipwa kiasi gani na kwanini? Kama aliyekua kiongozi analipwa 80% ya mshahara wa aliyeko madarakani pamoja na benefits nyingi yeye na familia yake swala la malipo linakujaje?
Mtu analipwa kwa kazi anayofanya, tuambie katiba imeeleza yapi majukumu ya mwenza wa kiongozi katika jamhuri? Lakini kwakua wajinga ni wengi nao wameridhia kama walivyoridhia sheria ya kinga ya mashtaka.
Huoni kwa nchi maskini Kama Tanzania inahitaji kutumikiwa zaidi kuliko kuw ashamba la kuchuma tu kwa ajili ya wachache huku wengi wakiogelea katika Umaskini
 
Kafulila ni kichwa sana huyu jamaa
Tusipojenga mifumo ya kuheshimu na kulinda mawazo yanayotoka kwa golden boys kama hawa na kuishia kuwasifia tu tutaendelea kutopea kwenye umaskini huu huu wakati wote. Kwa sababu ukiangalia mijadala mingi imejaa character promotion and character assasination badala ya kujadili na kuweka kwenye vitendo fikra na hoja zinazotolewa na hawa tunaowaita vichwa.
 
Hakuna aliyesema kuna nchi haina utaratibu wa kulipa kodi kasome uelewe nilichokiandika.

Serikali ikitetemeka kwamba ishushe kodi kwa wawekezaji wa nje ili waje kama haipo tayari kushusha au kufuta kabisa baadhi ya anasa zake ikiwemo kubana baadhi ya sector muhimu kama madini mbuga mali asili zote lengo hizo sehemu zilete hela stahiki itajikuta ikiwabana wafanyabiashara wa ndani unga unga ambao mwisho wa siku watapita pembeni na maafisa kodi serikali ikose hata kile kidogo ilichokuwa inakusanya kutoka kwao.
Kuna ukweli hapa
 
Back
Top Bottom