Mbochong'a
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 767
- 1,312
Kazi anayofanya mwandishi na na mtangazaji wa BBC imekubalika sana hasa kwa watangazaji chipukizi wa TZ
Nilikuwa naangalia habari mlimani TV ... Kuna mtangazaji anaitwa David Nkya.. Yaani anamuiga kikeke kila kitu...
Hongera kaka mkubwa Kikeke kwa kuwa kioo cha watangazaji wetu tz.. Kuiga vitu vizuri haikatazwi but usiige kila kitu.. Vingine buni mwenyewe ili kuleta utofauti.
Nilikuwa naangalia habari mlimani TV ... Kuna mtangazaji anaitwa David Nkya.. Yaani anamuiga kikeke kila kitu...
Hongera kaka mkubwa Kikeke kwa kuwa kioo cha watangazaji wetu tz.. Kuiga vitu vizuri haikatazwi but usiige kila kitu.. Vingine buni mwenyewe ili kuleta utofauti.