mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
- Thread starter
-
- #261
Mpaka hapo huyo akiolewa tayari ni tatizo kwa mumewe. Huyo Salim tayari ni wake, hajamgonga ni vile tu Salim hajataka ama lah jamaa ana kauwoga au kaustaarabu fulani ila akikengeuka anajipigia atakavyo bila hata hiyo ndoa anayoiwazia.
JF wanawake wote wana 29 kushuka chini.
Shoga pole sana,
Wewe ndiwe umemtafuta huyo bwana Salim baada ya kuona jua linazama hakuna shela wala mchumba,
Sasa usiwe kidudumtu kwenye Ndoa ya Watu, endelea kusubiri Mlokole mwenzio na nyie mnavyochelewa kuoana sasa, hapo uishi na Mtu akuzalishe watoto watano ndio mkabariki Ndoa, uso unakua umeshuka hata Make Up haikai, [emoji119][emoji1787]
Sasa wa peke ako unanpata wapiUkewenza hapana,akikuchoka nawe jiandae kuletewa mwenzio
Follow your heart kama unampenda Salim and ni mtu mwema kwako basi Olewa nae!! Hakuna waowaji siku hizi wanaume wengi ni wachezeaji!!! Maisha ni yako wewe sio ya Mama yako... Don't sacrifice your Happiness kwaajili ya kufurahisha Family.. Dunia mapito tu, hakuna ataebaki Milele.
Mama mzungu njoo DM
Njoo kwangu. Hutajuta. Niko smart kwa kila kitu, sipendi makuu. Handsome wa maana tu.
Salum hatafikia . Jaribisha kwa urafiki nami mengine utaamua. Sitakugusa kwa tamaa za mwili. Karibu DM
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Naomba ni kunukuu
"NB: Mimi na Salim mpk leo hii Hatujawahi kufanya mchezo Mchafu yaani Salim hajaninyandua wala mimi sijanyanduliwa na Salim"
Haya mapenzi bwana imagine kuna mwamba asha kutia vya kutosha na wala hataki kabisaa kukusikia, halafu Salim ndio hapati usingizi kisa wewe[emoji849][emoji849].Any way ni ecosystem [emoji85][emoji85]
Nakushauri endelea kusubiri utakuja kutupa mrejesho[emoji1787]
Bora mke wa pili marakumi sio ndoa zote zinakua na shida wengine huishi kwa amani na upendo.
Vuta vuta mda kwanza dada, ukishagonga 30 huku zii na huku zii mbona utajiongeza tu cha kufanya utakijua.Asante
Vuta vuta mda kwanza dada, ukishagonga 30 huku zii na huku zii mbona utajiongeza tu cha kufanya utakijua.
Kama wife material hivi ?π€Mimi mahusiano yangu ni ya kuchart hakuna kunyanduana
Jibu
Hakuna naenyanduana nae nimesahau hayo mambo zamani sana nina zaidi ya miaka 4 [emoji849]
Hivi watu wanavyosemaga hakuna mwanamke anaeweza kuvumilia ny3g3, wewe kwa maoni yako(kwa experience yako) unahisi lina ukweli ?Hakuna kunyanduliwa hapa[emoji3][emoji3]
Shinduuuuu....πSilagi vya hivi...
π π π π
Napendaga CHURAAAA...
Vile tupo kwa bed ""CHURA inapigwa makofi Paah paah paah"""
#YNWA
Njoo kwangu. Mi sina mke.Sina mwanaume kwa sasa labda Nikimkubali Salim
Mtunzie atakaye kuoa bana, motto mbichi haipendezi kuwa mke wa pili.Siliwi kwasababu ya kutaka ndoa ni maamuzi yangu binafsi
Ila sio nimpe penzi et kwasababu nataka anioe ni vile tu sijisikii na wala sijatamani kukulana nae
Kiufupi kuliwa kwangu na yeye hakuhusiani na yeye kunioa naweza kuamua kumpa na nisitake anioe na naweza nisimpe kabisa na nisiolewe nae
Mtunzie atakaye kuoa bana, motto mbichi haipendezi kuwa mke wa pili.Siliwi kwasababu ya kutaka ndoa ni maamuzi yangu binafsi
Ila sio nimpe penzi et kwasababu nataka anioe ni vile tu sijisikii na wala sijatamani kukulana nae
Kiufupi kuliwa kwangu na yeye hakuhusiani na yeye kunioa naweza kuamua kumpa na nisitake anioe na naweza nisimpe kabisa na nisiolewe nae
Hivi watu wanavyosemaga hakuna mwanamke anaeweza kuvumilia ny3g3, wewe kwa maoni yako(kwa experience yako) unahisi lina ukweli ?
Mtunzie atakaye kuoa bana, motto mbichi haipendezi kuwa mke wa pili.