Salim nakupenda! Kwanini hukunivumilia na unajua nilikuwa mtoto, ukakimbilia kuoa?

Mpaka hapo huyo akiolewa tayari ni tatizo kwa mumewe. Huyo Salim tayari ni wake, hajamgonga ni vile tu Salim hajataka ama lah jamaa ana kauwoga au kaustaarabu fulani ila akikengeuka anajipigia atakavyo bila hata hiyo ndoa anayoiwazia.

[emoji3][emoji3] usikariri kila mtu na hulka yake
 

Nilichoandika ndio sahihi
Hayo unayoyaongea siyajui

Nasubiri ushaurii wako [mention]Dream Queen [/mention]
 

Asante [mention]Minah [/mention]
 

Hayo ni mawazo yako hayana uhalisia Kama jina lako
 
Mimi mahusiano yangu ni ya kuchart hakuna kunyanduana


Jibu

Hakuna naenyanduana nae nimesahau hayo mambo zamani sana nina zaidi ya miaka 4 [emoji849]
Kama wife material hivi ?πŸ€”
 
Shaui hili ni zito ...tena sana NGOJA NIKAE KIMYA TU.
 
Mtunzie atakaye kuoa bana, motto mbichi haipendezi kuwa mke wa pili.
 
Mtunzie atakaye kuoa bana, motto mbichi haipendezi kuwa mke wa pili.
 
Hivi watu wanavyosemaga hakuna mwanamke anaeweza kuvumilia ny3g3, wewe kwa maoni yako(kwa experience yako) unahisi lina ukweli ?

Uamuzi wa mtu binfsi
Kama mwanamke unamchunga sana ili asikucheat
Akiamua anaweza kukucheat ata na baba ako ndani

Kulalwa ama kutolalwa ni maamuzi ya mwanamke akiamua anafanya asipoamua ndio kama hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…