Salim nakupenda! Kwanini hukunivumilia na unajua nilikuwa mtoto, ukakimbilia kuoa?

Salim nakupenda! Kwanini hukunivumilia na unajua nilikuwa mtoto, ukakimbilia kuoa?

Habari ndugu zangu,

Wakati nipo Mkoa X, nilikutana na huyu kijana nikiwa nimemaliza kidato cha sita kwenye mafunzo fulani fulani huko yeye akiwa tayari ameshaajiriwa ana kama miaka 5 kazini.

Nakumbuka tulikutana ofisini wakati mimi napeleka barua za kuomba ajira na yeye amefika kuripoti maana alikuja likizo. Yeye ndo alinikuta ofisini nikiwa namalizia malizia kupewa maelekezo, hatukusemeshana tuliangaliana tu kisha nikatoka nikamuacha ofisini na mimi kurudi home

Usiku wa siku hiyo nikapokea simu ni namba ngeni sauti ya kiume

“Samahani kwa kuiba namba yako bila Idhini yako, mimi ni yule kaka tulieonana ofisini nilikukuta ukiwa unaongea na mkuu”

“Mmh mbona sikukumbuki “ nilijifanya Kama simkumbuki lakini ukweli nilikuwa namkumbuka sana tu kwasababu alipoingia nilimuona na namna alivovaa alikuwa smart wa kuvutia kumtazama hivyo nilizuga tu

Basi alijielezea kwamba alivutiwa na mimi na kwakuwa nilikuwa nimeshaondoka hajui pa kunipata aliiba namba yangu kwenye daily ya mkuu wa ofisini maana niliambiwa niiandike kama kutatokea shida anijulishe

Kuanzia siku hiyo tulikuwa tunawasiliana sana na yule kaka (Tumwite Salim). Salim hakuwai kunitongoza mpk anaondoka likizo yake ilipoisha

Bahati nzuri tulikuwa tunakaa mkoa mmoja yeye alitangulia mimi nikafuata baadae na nakumbuka yeye ndo alinitumia nauli ya kurudi

Nilifika nyumbani mkoa aliopo yeye tukawa tunaendelea kuwasiliana akanitongoza akaniomba niwe mpenzi wake nikamwambia anipe muda wa kutafakari

Ukweli jibu nilikuwa nalo moyoni nilikuwa nimemkubalia ila kusema nikawa naogopa ,,unajua sababu ilikuwa ni nini??

DINI hii ndio sababu ambayo iliniumiza akili sana kijana alikuwa muislam na mimi mkristo tena wale wenye msimamo mkali (Mama yangu ni mlokolee) baba ni muislam ila alishatangulia mbele za haki lakini sisi kwetu wote ni wakristo ukiachia upande wa baba

Mama yangu ni mtu mwenye msimamo sana anaweza hata kunilaani akisikia hivi

Turudi kwenye jibu nililompa

Nilikubali nikamwambia sawa lakini vipi kuhusu dini akasema tuache kwanza tutajua mbeleni basi nimekaa nae kama wiki hivi nikaona hapa haiwezekani hii dini itakuja kuharibu mbeleni huko nikamwambia naomba tuachane maana mimi siwezi kubaildili dini na wewe najua huwezi siwezi kumuumiza mama kwasababu ya mapenzi mama atanitenga

Salim Alinambia ameumia sana na nimemkosea sana basi tukabaki marafiki wakuchart
Tukaja kupotezana karibia miezi 9 nakumbuka siku amenitafuta akanambia “Mama mzungu naomba nikuoe hata ndoa ya serikali ama bomani nakupenda na naamini wewe unanifaa“

Kusema ukweli nilikataa na kipindi hiko nilikuwa bado msichana mdogo miaka kama 23 hivi
Wakati ananiambia hivo mimi nilikuwa nawaza harusi kubwa washiriki ndugu zangu wote na marafiki zangu niolewe kanisani kiufupi nilikuwa natamani ndoa ya kanisani yakuvaa shela

Salim alinikaushia tena akajaga kunitafuta baada ya miezi kama 5 akanikumbushia nikamwambia hapana nahisi alikuwa ananitega maana baadae akanambia mimi nimeamua kuoa kwasababu umri unaenda na kazi inayoifanya inabidi aoe ili apate mambo furani furani. Nikamwambia tu poa Mungu akutangulie kwenye ndoa yako upate mke mwema

Sauti ya mwisho nilioisikia kwake ni “daaah” Akakata simu

Salim nilipomjibu hivo nahisi alisusa ama kukasirika maana hakupatikana tena kwa namba zake zote nilizokuwa nazo
Nakumbuka mambo yote yanaendelea alishawahi kunipeleka kwa baadhi ya ndugu zake mama ake mdogo dada na mdogo wake walikuwa wananifahamu ila sikuwa na namba zao japo walipokuwa wanaishi nilipajua ila sikutaka kwenda

Miaka ikapita kama mitatu mwaka huu ndio nikashangaa namba ngeni Mimi Salim nimekukumbuka Leo ikabidi niweke lini yangu ya zamani nichukue namba yako nikutafute

Kwakweli nilifurahi maana nilimmis sana sanaa. Nikamuuliza kwanini Salim umenifanyia hivo miaka mingi sana unajua nilivokumis,, akanijibu niliona unanizingua sana nikaamua nisikutafute mpk ukue kwanza kiakili ndo nirudii maana unautoto mwingi Sanaa

Basi tukaongea vizuri tukawa tunachart nikakumbuaka alinambiaga anataka kuoa nikamuuliza kama ameoa
Salim akanambia ameoa 2020 na ana Mtoto mmoja

Kusema ukweli sikuamini alinitumia mpk picha na Mtoto wake ni mzuri Mtoto wake Sanaa,, niliumia kwasababu
Salim, nilikuwa nampenda kweli sana sema nilikuwa sina maamuzi niseme na utoto ulichangia hiyo kitu imeniuma sanaa

Salim amenambia ameumia sana kwa kunikosa alitamani niwe mke wake anasema anaishi na mwingine na moyo wake upo kwingine
Salim anasema anataka anioe mke wa pili maana dini inaruhusu , ananipenda sana hatamani kunikosa

Mimi mama mzungu Salim nampenda na ningetamani awe Mume wangu lakini kuwa mke wa pili roho inasita sana naogopa sana hasa swala la ushirikina nasikia wanarogana sana

Mimi sijazeeka hivyo mpk niolewe mke wa pili hata sijafika miaka 28 nawaza sana je mke wake atanikubali

Salim amesema Kama itashindikana ndoa ya kidin ipo ya serikali na kimila ilimradi nitambulike kuwa mimi ni mke wake.


Ushauri wenu
Huyu jamaa vigezo anavyo vyote yaani kama angekuwa mkristo ningekuwa sina haja ya kumfikiria wala kumkataa miaka hiyo nyuma
Maana ni kijana ambae anajiheshimu mstaarabu ana huruma sio kwangu tu nimeonaa hata tulipokuwa mafunzoni ni mtu anaeguswa sanaa juu ya wengine wale mnaosoma biblia mnamfahamu Korinerio basi Salim anafanana kabisa na huyo mwamba kwenye bible

Je nijitose tu kuwa mke wa pili ama nikomae na mkristo tufunge pingu za maisha Japo sijawahi kupata wa dini yangu ambae yupo seriously [emoji19]

Kuhusu hela anayo nyingi tu ya kututosha mimi na mke wake [emoji38]

NB: Mimi na Salim mpk leo hii Hatujawahi kufanya mchezo Mchafu yaani Salim hajaninyandua wala mimi sijanyanduliwa na Salim

Najua kuna watakao uliza umri wako sipo chini ya miaka 25 wala sipo juu ya miaka 28 nipo katikati hapo

Mnisamehe kwa uandishi
Sawa,haujanyanduliwa na salim je wewe n bikra[emoji23][emoji23][emoji23]au ndo historia ndefu
 
Esther najua ni ww japo stori umeivunja vunja ili ufiche I'd yako Kuna baadhi ya matukio umeyabadilisha ila matukio muhim uliyo yagusa nauhakika ni wewe hata jina la salim ulilonipa siyo langu
[emoji23][emoji23][emoji109] Salim kama Salim
 
Habari ndugu zangu,

Wakati nipo Mkoa X, nilikutana na huyu kijana nikiwa nimemaliza kidato cha sita kwenye mafunzo fulani fulani huko yeye akiwa tayari ameshaajiriwa ana kama miaka 5 kazini.

Nakumbuka tulikutana ofisini wakati mimi napeleka barua za kuomba ajira na yeye amefika kuripoti maana alikuja likizo. Yeye ndo alinikuta ofisini nikiwa namalizia malizia kupewa maelekezo, hatukusemeshana tuliangaliana tu kisha nikatoka nikamuacha ofisini na mimi kurudi home

Usiku wa siku hiyo nikapokea simu ni namba ngeni sauti ya kiume

“Samahani kwa kuiba namba yako bila Idhini yako, mimi ni yule kaka tulieonana ofisini nilikukuta ukiwa unaongea na mkuu”

“Mmh mbona sikukumbuki “ nilijifanya Kama simkumbuki lakini ukweli nilikuwa namkumbuka sana tu kwasababu alipoingia nilimuona na namna alivovaa alikuwa smart wa kuvutia kumtazama hivyo nilizuga tu

Basi alijielezea kwamba alivutiwa na mimi na kwakuwa nilikuwa nimeshaondoka hajui pa kunipata aliiba namba yangu kwenye daily ya mkuu wa ofisini maana niliambiwa niiandike kama kutatokea shida anijulishe

Kuanzia siku hiyo tulikuwa tunawasiliana sana na yule kaka (Tumwite Salim). Salim hakuwai kunitongoza mpk anaondoka likizo yake ilipoisha

Bahati nzuri tulikuwa tunakaa mkoa mmoja yeye alitangulia mimi nikafuata baadae na nakumbuka yeye ndo alinitumia nauli ya kurudi

Nilifika nyumbani mkoa aliopo yeye tukawa tunaendelea kuwasiliana akanitongoza akaniomba niwe mpenzi wake nikamwambia anipe muda wa kutafakari

Ukweli jibu nilikuwa nalo moyoni nilikuwa nimemkubalia ila kusema nikawa naogopa ,,unajua sababu ilikuwa ni nini??

DINI hii ndio sababu ambayo iliniumiza akili sana kijana alikuwa muislam na mimi mkristo tena wale wenye msimamo mkali (Mama yangu ni mlokolee) baba ni muislam ila alishatangulia mbele za haki lakini sisi kwetu wote ni wakristo ukiachia upande wa baba

Mama yangu ni mtu mwenye msimamo sana anaweza hata kunilaani akisikia hivi

Turudi kwenye jibu nililompa

Nilikubali nikamwambia sawa lakini vipi kuhusu dini akasema tuache kwanza tutajua mbeleni basi nimekaa nae kama wiki hivi nikaona hapa haiwezekani hii dini itakuja kuharibu mbeleni huko nikamwambia naomba tuachane maana mimi siwezi kubaildili dini na wewe najua huwezi siwezi kumuumiza mama kwasababu ya mapenzi mama atanitenga

Salim Alinambia ameumia sana na nimemkosea sana basi tukabaki marafiki wakuchart
Tukaja kupotezana karibia miezi 9 nakumbuka siku amenitafuta akanambia “Mama mzungu naomba nikuoe hata ndoa ya serikali ama bomani nakupenda na naamini wewe unanifaa“

Kusema ukweli nilikataa na kipindi hiko nilikuwa bado msichana mdogo miaka kama 23 hivi
Wakati ananiambia hivo mimi nilikuwa nawaza harusi kubwa washiriki ndugu zangu wote na marafiki zangu niolewe kanisani kiufupi nilikuwa natamani ndoa ya kanisani yakuvaa shela

Salim alinikaushia tena akajaga kunitafuta baada ya miezi kama 5 akanikumbushia nikamwambia hapana nahisi alikuwa ananitega maana baadae akanambia mimi nimeamua kuoa kwasababu umri unaenda na kazi inayoifanya inabidi aoe ili apate mambo furani furani. Nikamwambia tu poa Mungu akutangulie kwenye ndoa yako upate mke mwema

Sauti ya mwisho nilioisikia kwake ni “daaah” Akakata simu

Salim nilipomjibu hivo nahisi alisusa ama kukasirika maana hakupatikana tena kwa namba zake zote nilizokuwa nazo
Nakumbuka mambo yote yanaendelea alishawahi kunipeleka kwa baadhi ya ndugu zake mama ake mdogo dada na mdogo wake walikuwa wananifahamu ila sikuwa na namba zao japo walipokuwa wanaishi nilipajua ila sikutaka kwenda

Miaka ikapita kama mitatu mwaka huu ndio nikashangaa namba ngeni Mimi Salim nimekukumbuka Leo ikabidi niweke lini yangu ya zamani nichukue namba yako nikutafute

Kwakweli nilifurahi maana nilimmis sana sanaa. Nikamuuliza kwanini Salim umenifanyia hivo miaka mingi sana unajua nilivokumis,, akanijibu niliona unanizingua sana nikaamua nisikutafute mpk ukue kwanza kiakili ndo nirudii maana unautoto mwingi Sanaa

Basi tukaongea vizuri tukawa tunachart nikakumbuaka alinambiaga anataka kuoa nikamuuliza kama ameoa
Salim akanambia ameoa 2020 na ana Mtoto mmoja

Kusema ukweli sikuamini alinitumia mpk picha na Mtoto wake ni mzuri Mtoto wake Sanaa,, niliumia kwasababu
Salim, nilikuwa nampenda kweli sana sema nilikuwa sina maamuzi niseme na utoto ulichangia hiyo kitu imeniuma sanaa

Salim amenambia ameumia sana kwa kunikosa alitamani niwe mke wake anasema anaishi na mwingine na moyo wake upo kwingine
Salim anasema anataka anioe mke wa pili maana dini inaruhusu , ananipenda sana hatamani kunikosa

Mimi mama mzungu Salim nampenda na ningetamani awe Mume wangu lakini kuwa mke wa pili roho inasita sana naogopa sana hasa swala la ushirikina nasikia wanarogana sana

Mimi sijazeeka hivyo mpk niolewe mke wa pili hata sijafika miaka 28 nawaza sana je mke wake atanikubali

Salim amesema Kama itashindikana ndoa ya kidin ipo ya serikali na kimila ilimradi nitambulike kuwa mimi ni mke wake.


Ushauri wenu
Huyu jamaa vigezo anavyo vyote yaani kama angekuwa mkristo ningekuwa sina haja ya kumfikiria wala kumkataa miaka hiyo nyuma
Maana ni kijana ambae anajiheshimu mstaarabu ana huruma sio kwangu tu nimeonaa hata tulipokuwa mafunzoni ni mtu anaeguswa sanaa juu ya wengine wale mnaosoma biblia mnamfahamu Korinerio basi Salim anafanana kabisa na huyo mwamba kwenye bible

Je nijitose tu kuwa mke wa pili ama nikomae na mkristo tufunge pingu za maisha Japo sijawahi kupata wa dini yangu ambae yupo seriously [emoji19]

Kuhusu hela anayo nyingi tu ya kututosha mimi na mke wake [emoji38]

NB: Mimi na Salim mpk leo hii Hatujawahi kufanya mchezo Mchafu yaani Salim hajaninyandua wala mimi sijanyanduliwa na Salim

Najua kuna watakao uliza umri wako sipo chini ya miaka 25 wala sipo juu ya miaka 28 nipo katikati hapo

Mnisamehe kwa uandishi
Duh Alo kuloga kaisha kufa ulikua peke yako ukaringa ukiwa na miaka 23 Sasa miaka 28 bado unaringa subir ufike 35 utafute japo anaepumua tuu
 
ilibid uwe selfish sometimes unatanguliza hisia zako kwanza halafu wengine baadae

ungeshapata ndoa na kusingekua na uzi hapa

Mungu ni mmoja na haukumu dini bali anaangalia mtu mmoja mmoja....unawaza mama yako atasemaje na huenda bi mkubwa hata asingejali

She is your Mother atakupenda No matter what
 
Endelea kubaki vivyo hivo, ukifikisha 30+ Utajiopolea lizee lako konki kabisa tena huto chagua tena boya wewe [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwani ndo ni tiketi ya kuingia mbinguni??

Kwamba walioolewa wataenda mbinguni na wasioolewa motoni
Ama ndoa ni pumzi kwamba wasioolewa hawaipati

Hiko unachoongea ni Kana kwamba mimi naringa… Mimi nipo dilemma na si kwamba naringa…

Naomba ushaurii kama ni sahihi ama sio sahihi
 
Sawa,haujanyanduliwa na salim je wewe n bikra[emoji23][emoji23][emoji23]au ndo historia ndefu

Ila watu sasa bikira inahusika vipi hapa….. au kuna mgao wa pesa kwa mabikira [emoji23]
 
Duh Alo kuloga kaisha kufa ulikua peke yako ukaringa ukiwa na miaka 23 Sasa miaka 28 bado unaringa subir ufike 35 utafute japo anaepumua tuu

Sijarogwa bhn umri niliokuwa nao ulipaswa mimi kuwa vile yeye kama mwanaume jukumu lake alitakiwa kunishawishi sana na kunitoa matongotongo maana nilikuwa mtoto
 
ilibid uwe selfish sometimes unatanguliza hisia zako kwanza halafu wengine baadae

ungeshapata ndoa na kusingekua na uzi hapa

Mungu ni mmoja na haukumu dini bali anaangalia mtu mmoja mmoja....unawaza mama yako atasemaje na huenda bi mkubwa hata asingejali

She is your Mother atakupenda No matter what

Yes kwakweli hata mimi nimeijutia ile nafasi lakini sina namna yalishatokea
 
Ushauri ndio huo,
Subiri Mlokole mwenzio akuveshe Shela mkafunge Ndoa ya Kanisa ili umfurahishe Mama na Nduguzo,

Hapo una miaka 26 bado hajatokea wa kukushika Mkono umebakiza miaka minne kabla hujabeba begi mwenyewe ukajiozeshe kwa Boda Boda.
Wabongo muna maneno ya kukela[emoji1787][emoji1787]
 
Habari ndugu zangu,

Wakati nipo Mkoa X, nilikutana na huyu kijana nikiwa nimemaliza kidato cha sita kwenye mafunzo fulani fulani huko yeye akiwa tayari ameshaajiriwa ana kama miaka 5 kazini.

Nakumbuka tulikutana ofisini wakati mimi napeleka barua za kuomba ajira na yeye amefika kuripoti maana alikuja likizo. Yeye ndo alinikuta ofisini nikiwa namalizia malizia kupewa maelekezo, hatukusemeshana tuliangaliana tu kisha nikatoka nikamuacha ofisini na mimi kurudi home

Usiku wa siku hiyo nikapokea simu ni namba ngeni sauti ya kiume

“Samahani kwa kuiba namba yako bila Idhini yako, mimi ni yule kaka tulieonana ofisini nilikukuta ukiwa unaongea na mkuu”

“Mmh mbona sikukumbuki “ nilijifanya Kama simkumbuki lakini ukweli nilikuwa namkumbuka sana tu kwasababu alipoingia nilimuona na namna alivovaa alikuwa smart wa kuvutia kumtazama hivyo nilizuga tu

Basi alijielezea kwamba alivutiwa na mimi na kwakuwa nilikuwa nimeshaondoka hajui pa kunipata aliiba namba yangu kwenye daily ya mkuu wa ofisini maana niliambiwa niiandike kama kutatokea shida anijulishe

Kuanzia siku hiyo tulikuwa tunawasiliana sana na yule kaka (Tumwite Salim). Salim hakuwai kunitongoza mpk anaondoka likizo yake ilipoisha

Bahati nzuri tulikuwa tunakaa mkoa mmoja yeye alitangulia mimi nikafuata baadae na nakumbuka yeye ndo alinitumia nauli ya kurudi

Nilifika nyumbani mkoa aliopo yeye tukawa tunaendelea kuwasiliana akanitongoza akaniomba niwe mpenzi wake nikamwambia anipe muda wa kutafakari

Ukweli jibu nilikuwa nalo moyoni nilikuwa nimemkubalia ila kusema nikawa naogopa ,,unajua sababu ilikuwa ni nini??

DINI hii ndio sababu ambayo iliniumiza akili sana kijana alikuwa muislam na mimi mkristo tena wale wenye msimamo mkali (Mama yangu ni mlokolee) baba ni muislam ila alishatangulia mbele za haki lakini sisi kwetu wote ni wakristo ukiachia upande wa baba

Mama yangu ni mtu mwenye msimamo sana anaweza hata kunilaani akisikia hivi

Turudi kwenye jibu nililompa

Nilikubali nikamwambia sawa lakini vipi kuhusu dini akasema tuache kwanza tutajua mbeleni basi nimekaa nae kama wiki hivi nikaona hapa haiwezekani hii dini itakuja kuharibu mbeleni huko nikamwambia naomba tuachane maana mimi siwezi kubaildili dini na wewe najua huwezi siwezi kumuumiza mama kwasababu ya mapenzi mama atanitenga

Salim Alinambia ameumia sana na nimemkosea sana basi tukabaki marafiki wakuchart
Tukaja kupotezana karibia miezi 9 nakumbuka siku amenitafuta akanambia “Mama mzungu naomba nikuoe hata ndoa ya serikali ama bomani nakupenda na naamini wewe unanifaa“

Kusema ukweli nilikataa na kipindi hiko nilikuwa bado msichana mdogo miaka kama 23 hivi
Wakati ananiambia hivo mimi nilikuwa nawaza harusi kubwa washiriki ndugu zangu wote na marafiki zangu niolewe kanisani kiufupi nilikuwa natamani ndoa ya kanisani yakuvaa shela

Salim alinikaushia tena akajaga kunitafuta baada ya miezi kama 5 akanikumbushia nikamwambia hapana nahisi alikuwa ananitega maana baadae akanambia mimi nimeamua kuoa kwasababu umri unaenda na kazi inayoifanya inabidi aoe ili apate mambo furani furani. Nikamwambia tu poa Mungu akutangulie kwenye ndoa yako upate mke mwema

Sauti ya mwisho nilioisikia kwake ni “daaah” Akakata simu

Salim nilipomjibu hivo nahisi alisusa ama kukasirika maana hakupatikana tena kwa namba zake zote nilizokuwa nazo
Nakumbuka mambo yote yanaendelea alishawahi kunipeleka kwa baadhi ya ndugu zake mama ake mdogo dada na mdogo wake walikuwa wananifahamu ila sikuwa na namba zao japo walipokuwa wanaishi nilipajua ila sikutaka kwenda

Miaka ikapita kama mitatu mwaka huu ndio nikashangaa namba ngeni Mimi Salim nimekukumbuka Leo ikabidi niweke lini yangu ya zamani nichukue namba yako nikutafute

Kwakweli nilifurahi maana nilimmis sana sanaa. Nikamuuliza kwanini Salim umenifanyia hivo miaka mingi sana unajua nilivokumis,, akanijibu niliona unanizingua sana nikaamua nisikutafute mpk ukue kwanza kiakili ndo nirudii maana unautoto mwingi Sanaa

Basi tukaongea vizuri tukawa tunachart nikakumbuaka alinambiaga anataka kuoa nikamuuliza kama ameoa
Salim akanambia ameoa 2020 na ana Mtoto mmoja

Kusema ukweli sikuamini alinitumia mpk picha na Mtoto wake ni mzuri Mtoto wake Sanaa,, niliumia kwasababu
Salim, nilikuwa nampenda kweli sana sema nilikuwa sina maamuzi niseme na utoto ulichangia hiyo kitu imeniuma sanaa

Salim amenambia ameumia sana kwa kunikosa alitamani niwe mke wake anasema anaishi na mwingine na moyo wake upo kwingine
Salim anasema anataka anioe mke wa pili maana dini inaruhusu , ananipenda sana hatamani kunikosa

Mimi mama mzungu Salim nampenda na ningetamani awe Mume wangu lakini kuwa mke wa pili roho inasita sana naogopa sana hasa swala la ushirikina nasikia wanarogana sana

Mimi sijazeeka hivyo mpk niolewe mke wa pili hata sijafika miaka 28 nawaza sana je mke wake atanikubali

Salim amesema Kama itashindikana ndoa ya kidin ipo ya serikali na kimila ilimradi nitambulike kuwa mimi ni mke wake.


Ushauri wenu
Huyu jamaa vigezo anavyo vyote yaani kama angekuwa mkristo ningekuwa sina haja ya kumfikiria wala kumkataa miaka hiyo nyuma
Maana ni kijana ambae anajiheshimu mstaarabu ana huruma sio kwangu tu nimeonaa hata tulipokuwa mafunzoni ni mtu anaeguswa sanaa juu ya wengine wale mnaosoma biblia mnamfahamu Korinerio basi Salim anafanana kabisa na huyo mwamba kwenye bible

Je nijitose tu kuwa mke wa pili ama nikomae na mkristo tufunge pingu za maisha Japo sijawahi kupata wa dini yangu ambae yupo seriously [emoji19]

Kuhusu hela anayo nyingi tu ya kututosha mimi na mke wake [emoji38]

NB: Mimi na Salim mpk leo hii Hatujawahi kufanya mchezo Mchafu yaani Salim hajaninyandua wala mimi sijanyanduliwa na Salim

Najua kuna watakao uliza umri wako sipo chini ya miaka 25 wala sipo juu ya miaka 28 nipo katikati hapo

Mnisamehe kwa uandishi
Tafuta wa kwako
 
Habari ndugu zangu,

Wakati nipo Mkoa X, nilikutana na huyu kijana nikiwa nimemaliza kidato cha sita kwenye mafunzo fulani fulani huko yeye akiwa tayari ameshaajiriwa ana kama miaka 5 kazini.

Nakumbuka tulikutana ofisini wakati mimi napeleka barua za kuomba ajira na yeye amefika kuripoti maana alikuja likizo. Yeye ndo alinikuta ofisini nikiwa namalizia malizia kupewa maelekezo, hatukusemeshana tuliangaliana tu kisha nikatoka nikamuacha ofisini na mimi kurudi home

Usiku wa siku hiyo nikapokea simu ni namba ngeni sauti ya kiume

“Samahani kwa kuiba namba yako bila Idhini yako, mimi ni yule kaka tulieonana ofisini nilikukuta ukiwa unaongea na mkuu”

“Mmh mbona sikukumbuki “ nilijifanya Kama simkumbuki lakini ukweli nilikuwa namkumbuka sana tu kwasababu alipoingia nilimuona na namna alivovaa alikuwa smart wa kuvutia kumtazama hivyo nilizuga tu

Basi alijielezea kwamba alivutiwa na mimi na kwakuwa nilikuwa nimeshaondoka hajui pa kunipata aliiba namba yangu kwenye daily ya mkuu wa ofisini maana niliambiwa niiandike kama kutatokea shida anijulishe

Kuanzia siku hiyo tulikuwa tunawasiliana sana na yule kaka (Tumwite Salim). Salim hakuwai kunitongoza mpk anaondoka likizo yake ilipoisha

Bahati nzuri tulikuwa tunakaa mkoa mmoja yeye alitangulia mimi nikafuata baadae na nakumbuka yeye ndo alinitumia nauli ya kurudi

Nilifika nyumbani mkoa aliopo yeye tukawa tunaendelea kuwasiliana akanitongoza akaniomba niwe mpenzi wake nikamwambia anipe muda wa kutafakari

Ukweli jibu nilikuwa nalo moyoni nilikuwa nimemkubalia ila kusema nikawa naogopa ,,unajua sababu ilikuwa ni nini??

DINI hii ndio sababu ambayo iliniumiza akili sana kijana alikuwa muislam na mimi mkristo tena wale wenye msimamo mkali (Mama yangu ni mlokolee) baba ni muislam ila alishatangulia mbele za haki lakini sisi kwetu wote ni wakristo ukiachia upande wa baba

Mama yangu ni mtu mwenye msimamo sana anaweza hata kunilaani akisikia hivi

Turudi kwenye jibu nililompa

Nilikubali nikamwambia sawa lakini vipi kuhusu dini akasema tuache kwanza tutajua mbeleni basi nimekaa nae kama wiki hivi nikaona hapa haiwezekani hii dini itakuja kuharibu mbeleni huko nikamwambia naomba tuachane maana mimi siwezi kubaildili dini na wewe najua huwezi siwezi kumuumiza mama kwasababu ya mapenzi mama atanitenga

Salim Alinambia ameumia sana na nimemkosea sana basi tukabaki marafiki wakuchart
Tukaja kupotezana karibia miezi 9 nakumbuka siku amenitafuta akanambia “Mama mzungu naomba nikuoe hata ndoa ya serikali ama bomani nakupenda na naamini wewe unanifaa“

Kusema ukweli nilikataa na kipindi hiko nilikuwa bado msichana mdogo miaka kama 23 hivi
Wakati ananiambia hivo mimi nilikuwa nawaza harusi kubwa washiriki ndugu zangu wote na marafiki zangu niolewe kanisani kiufupi nilikuwa natamani ndoa ya kanisani yakuvaa shela

Salim alinikaushia tena akajaga kunitafuta baada ya miezi kama 5 akanikumbushia nikamwambia hapana nahisi alikuwa ananitega maana baadae akanambia mimi nimeamua kuoa kwasababu umri unaenda na kazi inayoifanya inabidi aoe ili apate mambo furani furani. Nikamwambia tu poa Mungu akutangulie kwenye ndoa yako upate mke mwema

Sauti ya mwisho nilioisikia kwake ni “daaah” Akakata simu

Salim nilipomjibu hivo nahisi alisusa ama kukasirika maana hakupatikana tena kwa namba zake zote nilizokuwa nazo
Nakumbuka mambo yote yanaendelea alishawahi kunipeleka kwa baadhi ya ndugu zake mama ake mdogo dada na mdogo wake walikuwa wananifahamu ila sikuwa na namba zao japo walipokuwa wanaishi nilipajua ila sikutaka kwenda

Miaka ikapita kama mitatu mwaka huu ndio nikashangaa namba ngeni Mimi Salim nimekukumbuka Leo ikabidi niweke lini yangu ya zamani nichukue namba yako nikutafute

Kwakweli nilifurahi maana nilimmis sana sanaa. Nikamuuliza kwanini Salim umenifanyia hivo miaka mingi sana unajua nilivokumis,, akanijibu niliona unanizingua sana nikaamua nisikutafute mpk ukue kwanza kiakili ndo nirudii maana unautoto mwingi Sanaa

Basi tukaongea vizuri tukawa tunachart nikakumbuaka alinambiaga anataka kuoa nikamuuliza kama ameoa
Salim akanambia ameoa 2020 na ana Mtoto mmoja

Kusema ukweli sikuamini alinitumia mpk picha na Mtoto wake ni mzuri Mtoto wake Sanaa,, niliumia kwasababu
Salim, nilikuwa nampenda kweli sana sema nilikuwa sina maamuzi niseme na utoto ulichangia hiyo kitu imeniuma sanaa

Salim amenambia ameumia sana kwa kunikosa alitamani niwe mke wake anasema anaishi na mwingine na moyo wake upo kwingine
Salim anasema anataka anioe mke wa pili maana dini inaruhusu , ananipenda sana hatamani kunikosa

Mimi mama mzungu Salim nampenda na ningetamani awe Mume wangu lakini kuwa mke wa pili roho inasita sana naogopa sana hasa swala la ushirikina nasikia wanarogana sana

Mimi sijazeeka hivyo mpk niolewe mke wa pili hata sijafika miaka 28 nawaza sana je mke wake atanikubali

Salim amesema Kama itashindikana ndoa ya kidin ipo ya serikali na kimila ilimradi nitambulike kuwa mimi ni mke wake.


Ushauri wenu
Huyu jamaa vigezo anavyo vyote yaani kama angekuwa mkristo ningekuwa sina haja ya kumfikiria wala kumkataa miaka hiyo nyuma
Maana ni kijana ambae anajiheshimu mstaarabu ana huruma sio kwangu tu nimeonaa hata tulipokuwa mafunzoni ni mtu anaeguswa sanaa juu ya wengine wale mnaosoma biblia mnamfahamu Korinerio basi Salim anafanana kabisa na huyo mwamba kwenye bible

Je nijitose tu kuwa mke wa pili ama nikomae na mkristo tufunge pingu za maisha Japo sijawahi kupata wa dini yangu ambae yupo seriously [emoji19]

Kuhusu hela anayo nyingi tu ya kututosha mimi na mke wake [emoji38]

NB: Mimi na Salim mpk leo hii Hatujawahi kufanya mchezo Mchafu yaani Salim hajaninyandua wala mimi sijanyanduliwa na Salim

Najua kuna watakao uliza umri wako sipo chini ya miaka 25 wala sipo juu ya miaka 28 nipo katikati hapo

Mnisamehe kwa uandishi
Dini ni upuuzi flan wa kutaka kucontrol watu,itoe kwny hesabu zako,follow ur heart.
 
Actually tuliosoma story yote tushajua una Miaka 26 yaan ndio kwaanza umetoka toka kumaliza degree kama ulienda chuo na maisha sasa ndio unaanza kuyajua jinsi yasivyo na huruma..Naona kwasasa hata zile sababu za kumuogopa Mama yako na misimamo mikali ya kutengwa ushazisahau kabisaaa..Trust me Huyo jamaa atakunyandua tu kwakua kwasasa hela yake ushaanza kuipenda then anaweza asikuoe mke wa pili na hata akikuoa wala huta experience unachokifikiria na yeye atajishangaa kwanin alitaka sana kukuoa..AKILI KICHWANI MWAKO
 
Back
Top Bottom