financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Ok is it Ward Counselor or?Ward Executive Officer - Katibu Kata; mtendaji wa kata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok is it Ward Counselor or?Ward Executive Officer - Katibu Kata; mtendaji wa kata
Ni Diwani bhanaR.I.P WEO
YapOk is it Ward Counselor or?
Mama yenu na mwendawazimu zake si huwa wanawateua Bavicha wawaongoze mbulula wa Uvccm wagombee ili iwe niniJe, mtashiriki uchaguzi mdogo? Maana wezi wenu wa kura si wamekufa?
Poleni wote wafiwa na Mungu awape ustahamilivu katika kipindi hichi kigumu. Tunajipanga kwa mkono wa pole. Uliye post tupatie namba kwenye inbox.Habari za muda huu
Habari zilizotufikia toka Mwanga mkoani Kilimanjaro zinasema Diwani Salim Zubery wa kata ya Kileo Halmashauri ya Mwanga amefariki dunia muda mfupi uliopita.
NDIOBavicha mtashiriki uchaguzi huo mdogo?
Na wewe pia mkuu. Yani kawaida tu ila Shukrani za dhati.
Mkuu mbona unani quote?Na wewe pia mkuu. Yani kawaida tu ila Shukrani za dhati.
Bila tume huru kwa uchache hawatakuwa tayari kushiriki,keanu madai ni mengi ikiwa ni pamoja na Katiba mpya,muonyeshe hata nia njema kuwashawishi.Bavicha mtashiriki uchaguzi huo mdogo?
Waishe tu kwa kweli, itakuwa Ni Jambo jema kesho tena tukisikia mbunge/mkurugenzi/diwani au mwenyekiti wa mtaa kafa Kama mekoWezi wa kura wanapukutika mdogo mdogo kudadadeq
Dogo kawaida tu potezeaMkuu mbona unani quote?
Tayari nimeshakuwini kisaikolojia na ndio hicho nilikuwa nataka na kusumbuka kutafuta kwa udi na uvumba.Acha usenge wako manina zako
Tume ya uchaguzi ni huru?NDIO
Habari za muda huu
Habari zilizotufikia toka Mwanga mkoani Kilimanjaro zinasema Diwani Salim Zubery wa kata ya Kileo Halmashauri ya Mwanga amefariki dunia muda mfupi uliopita.
This my day yani Member wengi humu na wa approach ni wa win kisaikolojia wananikwepa basi inaniuma kichizi nilitaka nikupite ila nikajisemea tu ebu mchokonoe kidogo akutukane. Kwanza ukakausha ikaniuma nikataka nikuwache ila kitu kwa mbali kikaniambia nikurudie. Yani ulivyonitukana tu dah nikajisemea Dogo tayari kashaingia mkenge.Una saikolojia gani taahira wewe?
NDIOTume ya uchaguzi ni huru?