Sallam akanusha WCB kuwa na ugomvi na Clouds Media

Sallam akanusha WCB kuwa na ugomvi na Clouds Media

Ila hata kama nyimbo unazipatia mtandaoni. Ila hao hao clouds wametawala sana mtandaoni
 
Hizi heka heka zote zilizopo sasa havi kati ya Diamond na Clouds media zina lengo LA kutafuta tension ya watu dhidi ya ujio wa Wasafi TV na redio na hazina lengo lingine.

Ni mwanzo wa kuwaandaa wadanganyika ili ionekane kuwa pande hizi mbili ziko katika ushindani na watu wataanza kutengeneza timu kadhaa!

Sioni sababu nyingine Bali wasanii wameshazoea kuwa huwezi kuwika kwenye jambo au suala Fulani bila kulitafutia skendo au Vurumai! Wao wanafahamu. So msishangae hata kuona hii mitiguano lengo ni kama nilivyoainisha hapo juu
 
Back
Top Bottom