Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bhangi mbaya kijanaa...Sallam alikumbwa kwenye msala wa september 11 na alilala mpaka Guantanamo. Lakini mbona hamuulizi kwa nini Sallam hatokaa akanyage Congo? Huyu Sallam huyu!
Kahama uku ndani ndanimarejani ndio wapi!!!!
Yes Congo. Madogo wengi hammjui Sallam, nakupa homework tafuta sababu ya Melei Balhaboo kufulia na kampuni yao ya TIOT. Sallam was there!Congo?
Homework gani ya kipuuzi hiyo.Yes Congo. Madogo wengi hammjui Sallam, nakupa homework tafuta sababu ya Melei Balhaboo kufulia na kampuni yao ya TIOT. Sallam was there!
Ishu ya MB wa TIOT kufulia naifahamu.. Sijajua inahusiana vipi na Sallam ila nafahamu politics zimechangia sana.. Sababu za kipolitiksi niziweke?Yes Congo. Madogo wengi hammjui Sallam, nakupa homework tafuta sababu ya Melei Balhaboo kufulia na kampuni yao ya TIOT. Sallam was there!
Naona mnduku unakuwasha dogo.Homework gani ya kipuuzi hiyo.
Weka mkuuIshu ya MB wa TIOT kufulia naifahamu.. Sijajua inahusiana vipi na Sallam ila nafahamu politics zimechangia sana.. Sababu za kipolitiksi niziweke?
kuu tafadhali tuwekee hizo sababu za kipolitikisi basi kumhusu tajiri wa moro utd merey balhabouIshu ya MB wa TIOT kufulia naifahamu.. Sijajua inahusiana vipi na Sallam ila nafahamu politics zimechangia sana.. Sababu za kipolitiksi niziweke?