DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
[emoji44][emoji44]Nani kamuongelea Fela hapo we dada
itakuwa amekamata soko la buguruni na mabiboWe umekamata soko la wapi
Mambo yanaendaje hapo newyork
kuwa na heshima kwa Malegend wa muziki wa bongo bwana mdogo unakopita wamefyeka wao njiaAchanga ungese we jamaa, huko South Sudan unako kusema kila siku, hata akienda mandojo atajaza tuu uwanja
Mkuu unajua kusoma? Nimeandika hawaelwani tu??Unaweza kuthibitisha kwamba Diamond na Davido hawaeleweni au umeokota maeneo ya mtaani ya kuyaleta hapa kama yalivyo.
Mkuu Sijui kusoma ila as far as reading skills are concerned I know we have scanning, skimming , extensive reading and intesive reading.Mkuu unajua kusoma? Nimeandika hawaelwani tu??
Nimesema hawaelewani vizuri kama mwanzo! Sijasema hawaelewani. Katika comprehension these phrases are differentMkuu Sijui kusoma ila as far as reading skills are concerned I know we have scanning, skimming , extensive reading and intesive reading.
And for ya case I just skimmed. Need I say more chief ?
Ruge alikuwa na Clearance kubwa kwa vile tu alikuwa mtu wa system pia.ktk michongo ya kimafia, inafika kipindi mafia kwa mafia huwa wanazidiana mbinu.
ni kweli hakuna aliye nafuu kati yao ila nilichotaka kusema ni kwamba sallam, tale na fella kiboko yao katika mbinu na makakati alikuwa ruge. ruge alikuwa na mbinu nyingi za kumu win out mshindani wake wa kibiashara.
kiufupi ni kwamba ruge mmoja ni sawasawa na ukusanye akina sallam kumi. mpaka sasa bado hajapatikana mbadala wake.
Upande wa pili tunaenda kuona burudani murua ya ushindani ambayo itaua kabisa kiburi, majivuno na baadhi ya upotosha wa maadili kwa vijana wetu wa kitanzania uliokuwa ukionyeshwa na kufanywa na Wasafi (WCB) katika anga ya Muziki Tanzania. Kila la heri 'Harmonizer'.Harmonize anaenda kuwa historia kwenye muziki wa bongofleva uenda tukashangaa sana pale ambapo hatutasikia tena muziki wa kueleweka kutoka kwake na ukawa mwisho wake kisanaa
Utakua unaishi nje ya muda aisee, upo sitimbi ama?
Sasa wewe Nifah mahaba yako kwa huyo Lavalava ndio kuna kufanya ujionee unajua muziki?Wewe ni kati ya wasioujua muziki lakini una ujuaji mwingi ilhali huna ulijualo.
Unasema Lavalava sio msanii na nyimbo zake hazieleweki? Mimi sio shabiki wa hiyo WCB yenu ila Lavalava ndio msanii wangu bora pale WCB na hizo nyimbo zake unazosema huzielewi ndio nimejua hujui muziki.
Unathubutuje kusema mtu mwenye vibao vitamu kama Bora Tuachane, Utatulia, Go Gaga na wimbo wangu bora wa muda wote kwa Lavalava, Kilio sio msanii?
Wewe jamaa umejua kuniharibia asubuhi yangu!
Kam anajua hawez shdwa kufanya mzk. Labd ungesem kwann atapotea au unahs kipaji hanaHatimaye Meneja wa Wasfi Classic Baby (WCB), Sallam SK amekata mzizi wa fitna baada kuthibitisha Harmonize kaandika barua ya kuvunja mkataba na lebo ya WCB.
Amesema kwa sasa wanasubiria kufanya taratibu za kisheria kuuvunja mkataba na karibuni watakuwa na kikao cha kukubaliana 'terms' ingawa Harmonize ameshaonyesha nia ya kukubaliana na 'terms' zote za kuvunja mkataba.
Sallam ameomba radhi kwa mwenendo uliokuwa unaonyeshwa na msanii huyo siku za karibuni lakini amewaomba mashabiki wa Wasafi waendelee kutoa ushirikiano kwa Harmonize kwani ajaondoka kwa ubaya.
Sallam amesema katika tamasha la Wasafi lililofanyika mjini Mwanza, Harmonize alitumia usafiri binafsi, kufanya baadhi ya mambo yaliyotoa tafsiri kuwa amejitenga.
Sallam amesema kwa sasa Harmonize moyo wake haupo Wasafi lakini ukweli ni kuwa bado ana mkataba na kundi hilo.
Kuhusu kujitenga na wenzake Sallam amesema, “Hili jambo si sawa kulingana na maudhui ya tamasha hilo. Maudhui ya Wasafi Festival ni umoja. Msanii akiamua kuacha kuambatana na wasanii wenzake ambao wapo pamoja katika tamasha ni kwenda kinyume.”
“Sisi katika tamasha letu hatupendi kutengeneza matabaka, tumeamua kuwa kitu kimoja, siyo kwamba Diamond, Rayvany hawakuwa na uwezo wa kutumia usafiri wao binafsi kama alivyofanya Harmonize” amesema Sallam.
Mtazamo wangu;
Harmonize anaenda kuwa historia kwenye muziki wa bongofleva uenda tukashangaa sana pale ambapo hatutasikia tena muziki wa kueleweka kutoka kwake na ukawa mwisho wake kisanaa.
Waliomshauri Hamo anapaswa kuwachukia maisha yake yote kama waliomshauri Mavoko.
Hahhahahahahahah! umenifurahisha mkuuHii comment nahisi kama imeandikwa kunilenga mimi mkuu. Kuna mambo umeandika hapo inabidi niyafanyie kazi.
Got you ....!Nimesema hawaelewani vizuri kama mwanzo! Sijasema hawaelewani. Katika comprehension these phrases are different
Yule binti ambaye huwa anasema Wasafi records kwenye nyimbo ni nani wakuu ?Acha uchawi ndugu, usiishi kwa kukariri. Nyimbo nying alizotoa hiv karibun syo za wasafi[emoji3]. Aliyekuambia kila anayetoka wasafi anafirisika nan
Bado unawaza huo upumbavu harmo atapotea ? Au ulishapata akiliHatimaye Meneja wa Wasfi Classic Baby (WCB), Sallam SK amekata mzizi wa fitna baada kuthibitisha Harmonize kaandika barua ya kuvunja mkataba na lebo ya WCB.
Amesema kwa sasa wanasubiria kufanya taratibu za kisheria kuuvunja mkataba na karibuni watakuwa na kikao cha kukubaliana 'terms' ingawa Harmonize ameshaonyesha nia ya kukubaliana na 'terms' zote za kuvunja mkataba.
Sallam ameomba radhi kwa mwenendo uliokuwa unaonyeshwa na msanii huyo siku za karibuni lakini amewaomba mashabiki wa Wasafi waendelee kutoa ushirikiano kwa Harmonize kwani ajaondoka kwa ubaya.
Sallam amesema katika tamasha la Wasafi lililofanyika mjini Mwanza, Harmonize alitumia usafiri binafsi, kufanya baadhi ya mambo yaliyotoa tafsiri kuwa amejitenga.
Sallam amesema kwa sasa Harmonize moyo wake haupo Wasafi lakini ukweli ni kuwa bado ana mkataba na kundi hilo.
Kuhusu kujitenga na wenzake Sallam amesema, “Hili jambo si sawa kulingana na maudhui ya tamasha hilo. Maudhui ya Wasafi Festival ni umoja. Msanii akiamua kuacha kuambatana na wasanii wenzake ambao wapo pamoja katika tamasha ni kwenda kinyume.”
“Sisi katika tamasha letu hatupendi kutengeneza matabaka, tumeamua kuwa kitu kimoja, siyo kwamba Diamond, Rayvany hawakuwa na uwezo wa kutumia usafiri wao binafsi kama alivyofanya Harmonize” amesema Sallam.
Mtazamo wangu;
Harmonize anaenda kuwa historia kwenye muziki wa bongofleva uenda tukashangaa sana pale ambapo hatutasikia tena muziki wa kueleweka kutoka kwake na ukawa mwisho wake kisanaa.
Waliomshauri Hamo anapaswa kuwachukia maisha yake yote kama waliomshauri Mavoko.
Bado unawaza huu upumbavu au ulishapata akiliMkuu achana nae huyo, hawa ndo huwa wanaamini mchezaji ni mkubwa kuliko team... Watu wanaoangalia final product (music) wanaweza kuona kama Harmonize ni mkubwa, ila kiuhalisia bila management ya wcb huyo Harmonize angeendelea kuuza mitumba tandale hadi leo.. Harmonize kakosea sana kubadili management, Kina Sallam hawana issue nyingine kubwa za kuwaingizia kipato zaidi ya kusimamia wasanii wao, wanaspend time yao 100% kwenye music wa wasanii wao, ila hiyo management ya sasa ya Harmonize ni watu ambao tayari wana channel zao za pesa, watakua na muda kidogo wa kusimamia msanii wao, na hapo ndo Harmonize atakapoanza kupotea.. Harmonize Hawezi kuwaingizia pesa zaidi ya wanazoingiza sasa kwenye Miradi yao.