Sallam athibitisha Harmonize kujiondoa WCB


Wewe ni kati ya wasioujua muziki lakini una ujuaji mwingi ilhali huna ulijualo.
Unasema Lavalava sio msanii na nyimbo zake hazieleweki? Mimi sio shabiki wa hiyo WCB yenu ila Lavalava ndio msanii wangu bora pale WCB na hizo nyimbo zake unazosema huzielewi ndio nimejua hujui muziki.

Unathubutuje kusema mtu mwenye vibao vitamu kama Bora Tuachane, Utatulia, Go Gaga na wimbo wangu bora wa muda wote kwa Lavalava, Kilio sio msanii?
Wewe jamaa umejua kuniharibia asubuhi yangu!
 
Wabongo ni wanafiki tu.

Kipindi kile wasanii wakiachana na CMG au THT tunaambiwa wamejitambua na blah blah kibao ila huyo jamaa kutoka WCB imekuwa nongwa Why?
Mkuu humu JF member wengi wanashabikia wcb so yeyote akitoka pale atanangwa balaa, lkn mtu akitoka CMG wanashangilia.
Uchawi, roho mbaya na unafiki humu ndio mahali pake!
 
No offense, ila asilimia kubwa ya vijana wa kusini kwa kweli si watu wakusema unaweza ukawa na ushikaji nae ili mfanikishe jambo na likatiki mazima, tena hususani wale waliolelewa kulekule, achana na hawa waliozaliwa ocean road, nazungumzia wale wa shule ya msingi kulekule.
Wapo hivi, asilimia kubwa kwanza wanatoka kwenye familia duni na wajinga, sasa akikuona wewe mambo yako supa huwa wanajipendekeza kwako sana, anaweza mtoto wa kiume akaja hadi kwako mwanaume mwenzake kukufulia, kupiga deki, kukupikia ili mradi umuone msela safi. Mnapanga mipango mfanyeje ili mpate kipato cha ziada kupitia yeye kwakuwa kipindi hicho hana mchongo wowote wa maana, unaona sio kesi, ngoja nitoe milioni zangu tufungue duka, au umnunulie bodaboda, au hiace yeye asimamie, au umwendeleze kipaji chake n.k kiroho safi.
Akisha ijua biashara fresh, anaanza kukuvimbia, anajiona bila ya yeye wewe hulambi kitu, anakuona kama ile hela mliyokubaliana akupatie kwa siku au wiki ni kama anakupa bure, anasahau pesa ya uwekezaji yote hajatoa hata senti, yeye ni nguvu kazi tu. Wakikutana na wenzake wanajazana ujinga mwishoe anakukimbia, na huwa hawachukui round wanafeli vibaya mno.
Hili la harmonize halijanishtua kwa vyovyote, ni kitu nilitegemea, nilipoona mazingira ya kwao akituonyesha nikajua huyu, diamond kalamba galasa hapa, ajitahidi diamond arudishe hela yake ya uwekezaji, amuache aende.
Kuna watu watasema dogo amekua sasa ni muda wa yeye kujitegemea, mnazidi kumjaza ujinga. Muda utaongea. Hivi mnadhani kuwa na lebo yenye studio, radio na tv ni kitu simple eeeh kama kuwasha kwa remote?
 

Harmonize ni lini aliuza mitumba Tandale? Hii ni fact ndogo ambayo inaondoa maana ya yote uliyoyaandika.

Nawashangaa sana mnaosema Harmonize kakosea kubadili management... Hivi nyie mnaijua WCB kuliko Harmonize?
Harmonize ni mtu wa ndani wa WCB, anajua mengi kuliko mtu yeyote nje ya WCB. Acheni kuleta siasa ktk masuala ya career za watu.
Huu uchambuzi wenu hauna maana yoyote maana tasnia ya muziki inahusisha mambo ya ndani ambayo hatuyajui tofauti na mpira unaochezwa hadharani ndio maana mtu unaweza kufanya uchambuzi ila sio muziki wetu uliobeba fitna za kila namna.

Mimi naona tumtakie heri kijana wetu, ameonesha uthubutu muacheni asonge mbele acheni hizi ramli zenu chonganishi.
 
Hizo style zinazochezwa kwenye hizo videos ulizotaja mbona video kibao za Nigeria wanazitumia kabla hata ya mwaka jana. Diamond kazichukua tu kazi-compile... Huyo unayesema kazivumbua mwambie akuambiye tena.
 
Utter truth & facts. Nuff said, Miss.
 
Usikariri maisha wewe
 
Atakamata soko la Lindi, Mtwara, Masasi mpaka Nachingwea yote. Nangumene wote lazima wampe support wa nyumbani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dua la kuku........... kwani mtu akikua c anaondoka kwa wazazi wake mbona mmemuwekea kinyongo au lebo ndo inamtegemea yeye akiondoka kuna mkwaja utakata???
We jamaa siku zote umekazana mtoto akikua anaondoka kwa wazazi. Mavoco mlisema hivyo hivyo,yuko wapi?. Kumbuka hao waliomshauri kuondoka wanamtegea sana kuchuma kutoka kwake,hawana ujanja wa kuupush mziki wake zaidi ya kuchuma. Umoja ni nguvu,huko alikoondoka ni team
 
Time will tell atarudi kuwalaumu Wasafi ndio wanamkwamisha.. Hamo hana talent ya kusimama nje ya Wasafi evidence project yake na Q chilla imeangukia pua pamoja na mkwanja mrefu alioweka
Kabisa mkuu. Muda si muda atarudi kulia wasafi wanamkwamisha.
 
Time will tell atarudi kuwalaumu Wasafi ndio wanamkwamisha.. Hamo hana talent ya kusimama nje ya Wasafi evidence project yake na Q chilla imeangukia pua pamoja na mkwanja mrefu alioweka
Katika maisha hivyo ni vitu vya kawaida sana.
Is it better to try and fail than not try at all,Life is about trial, error and Imrovement.
 
Label ziko nyingi mimi nlijua labda amesign label ya nje ambayo ingembeba zaidi ya wcb.tuwe wakweli jembe hawezi kumjenga kumziki mana hajawahi kumsimamia msanii yeyote kimuziki,yetu macho na masikio tutaona yajayo
 
Umehadimika.
 
Rayvan huyu huyu ambae baby mama wake alituambia wanatumia mil. 9 kwa photoshoot?
 
Katika kitu Harmonize amefanya kikubwa katika maisha yake ni kuingia WCB na kizuri kikubwa zaidi nI kutoka WCB naamin ameshapata platform ya mashabiki wa kutosha ni vema sasa aishi maisha yake sio kusindikiza tena kuna mtu hapo amesema kwamba kama4 Diamond anakatwa 30% ya show inaingia kwa hao mameneja yeye ni nani asikatwe hiyo % lakin mimi naona huo ni ujinga mkubwa sana yaani manager watatu wachukue 30% bado manager wake nae achukue bado nyingine ibaki kwa kampuni cmon! Labda kama show inalipa 100m but hamna show ya namna hiyo na kijana hapo ndio akaanze kufanya maisha sasa ya uhalisia wala asikatishwe tamaa na hawa washabiki wa WCB maana kama Jux anaishi hayupo wcb, Aslay anaishi maisha mazuri tu yeye kwa nini ang'ang'ane na maisha ya kishowoff platform aliyonayo inamtosha kutoboa kimaisha ukipata chochote sasa ni cha kwake hakuna kugawana sijui na manager watatu wala wcb namuonea huruma tu Rayvan bado hajapata akili ya maisha ila kama akifumbuliwa macho ndio ataelewa ila abaki kwanza atengeneze jina na akili ipanuke
 
Tungoje kwanza kabla ya kutoa neno la kulaumu. Kwanza walinzi wake. Pili zihara za USA. 9Ja. Tatu kampeni za CCM zitampandisha nk ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…