Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Ndugu kama hujui mambo bora ukakaa kimya na huyo harmonize mnaempa kichwa nyie mtakuja kuanza kumuonea huruma wenywe kwa vile hujui ngoja nikwambie kwan WCB Mondi mwenywe akifanya shoo 30% ya pesa aliyoingiza inaenda kwa hao mameneja wa tatu yaani mshahara maana ndo makubaliano yeye harmonize ni nani mpaka asitoe hiyo 30% kwa mameneja na pesa kidogo kwenye mfuko wa lebel kwa Mondi kurudisha pesa zke.
Af watu hamjui uzito wa LEBEL mfano KANYE WEST na mipesa yake yote ile lakini yupo chini ya Jay Z na halalamiki na anakatwa asilimia flani kama kawaida.
Na lebel cku zote huwa zinamashabiki wake mfano tu kwa maono yangu lavalava sio msanii kiviile na nyimbo zake Mara nyingi huwa hazieleweki lakin lakini akitoa ngoma kaa kama siku nne hivi af ingia YouTube uone alivyopata viewers wengi na ndo mashabiki hao wa WCB ndo wanao mpa support wakati huohuo rich mavoko anatoa ngoma kupata 500k ni kwa tabu sana kwa hiyo nachotaka kusema kuwa lebo ina mashabiki wake harmo akiondoka WCB asilimia kubwa atajitenga nao na kuwa maadui wake
Wewe ni kati ya wasioujua muziki lakini una ujuaji mwingi ilhali huna ulijualo.
Unasema Lavalava sio msanii na nyimbo zake hazieleweki? Mimi sio shabiki wa hiyo WCB yenu ila Lavalava ndio msanii wangu bora pale WCB na hizo nyimbo zake unazosema huzielewi ndio nimejua hujui muziki.
Unathubutuje kusema mtu mwenye vibao vitamu kama Bora Tuachane, Utatulia, Go Gaga na wimbo wangu bora wa muda wote kwa Lavalava, Kilio sio msanii?
Wewe jamaa umejua kuniharibia asubuhi yangu!