Sallam athibitisha Harmonize kujiondoa WCB

Sallam athibitisha Harmonize kujiondoa WCB

Huyu sallam nae mnaaa..... sasa anaomba msamaha kwa matendo yapi mabaya aliyoyafanya harmo??
Ushauri kwa harmonise na yeye anatakiwa kuwaomba radhi clouds na wengineo aliokuwa anawananga wakati yupo wasafi. Ni kipindi ambacho hataitji sana bifu na media ili kuujenga vyema ufalme wake.
Hopefully atakua amejifunza fitina wasafi kama zilikuwepo ili nae ajue cha kufanya kwenye ulimwengu huu wa sanaa😶😶
 
pale wasafi kuna watu watatu au unaweza kuuita utatu mtakatifu, ambao ni sallam, babu tale na saidi fella.

ukiondoa tabia yao ya ushirikina, fitna na propaganda zao ambazo kwa mda mrefu wamekuwa wakizitumia ku monopolize soko la mziki tanzania, kazi nyingine kubwa pale wasafi ni kujineemesha kwa kupitia wasanii walio chini ya lebel ya wasafi.

unakuta kwa mfano malipo ya show moja ya rayvanny, hao wote watatu kila mmoja ana parcent yake na hajaitolea jasho. nampongeza sana harmonize kwa kuachana na hao wapuuzi watatu. na ninamsifu kwa ku sign chini ya sebastian ndege "jembe ni jembe".

najua sallam na wapuuzi wenzie hawatakubali kushindwa kirahisi, lazima watajaribu kutumia uzoefu wao kumuangusha jembe ni jembe. ila hawataweza maana jamaa pia ni born town, ana connection kubwa na pesa ya kula anayo.

hawa wapuuzi watatu kiboko yao alikuwa marehemu ruge mutahaba the master minder. rest in peace ruge.
 
pale wasafi kuna watatu au unaweza kuuita utatu mtakatifu, ambao ni sallam, babu tale na saidi fella.

ukiondoa ushirikina wao, fitna na propaganda zao ambazo kwa mda mrefu wamekuwa wakizitumia ku monopolize music industry ya tanzania, kazi nyingine kubwa pale wasafi ni kujineemesha kwa kupitia wasanii walio chini ya lebel ya wasafi.

unakuta kwa mfano malipo ya show moja ya rayvanny, hao wote watatu kila mtu ana parcent yake na hajaitolea jasho. nampongeza sana harmonize kwa kuachana na hao wapuuzi watatu. na ninamsifu kwa ku sign chini ya jembe jembe.

najua sallam na hao wapuuzi wenzie hawatakubali kushindwa kirahisi, lazima watajiribu kutaka kumvurigia deal lake la harmonize ila hawataweza maana jamaa pia ni born town, ana connection kubwa na pesa ya kula anayo.

hawa wapuuzi watatu kiboko yao alikuwa ni marehemu ruge mutahaba the master minder. rest in peace ruge.
Ndugu kama hujui mambo bora ukakaa kimya na huyo harmonize mnaempa kichwa nyie mtakuja kuanza kumuonea huruma wenywe kwa vile hujui ngoja nikwambie kwan WCB Mondi mwenywe akifanya shoo 30% ya pesa aliyoingiza inaenda kwa hao mameneja wa tatu yaani mshahara maana ndo makubaliano yeye harmonize ni nani mpaka asitoe hiyo 30% kwa mameneja na pesa kidogo kwenye mfuko wa lebel kwa Mondi kurudisha pesa zke.

Af watu hamjui uzito wa LEBEL mfano KANYE WEST na mipesa yake yote ile lakini yupo chini ya Jay Z na halalamiki na anakatwa asilimia flani kama kawaida.
Na lebel cku zote huwa zinamashabiki wake mfano tu kwa maono yangu lavalava sio msanii kiviile na nyimbo zake Mara nyingi huwa hazieleweki lakin lakini akitoa ngoma kaa kama siku nne hivi af ingia YouTube uone alivyopata viewers wengi na ndo mashabiki hao wa WCB ndo wanao mpa support wakati huohuo rich mavoko anatoa ngoma kupata 500k ni kwa tabu sana kwa hiyo nachotaka kusema kuwa lebo ina mashabiki wake harmo akiondoka WCB asilimia kubwa atajitenga nao na kuwa maadui wake
 
pale wasafi kuna watatu au unaweza kuuita utatu mtakatifu, ambao ni sallam, babu tale na saidi fella.

ukiondoa ushirikina wao, fitna na propaganda zao ambazo kwa mda mrefu wamekuwa wakizitumia ku monopolize music industry ya tanzania, kazi nyingine kubwa pale wasafi ni kujineemesha kwa kupitia wasanii walio chini ya lebel ya wasafi.

unakuta kwa mfano malipo ya show moja ya rayvanny, hao wote watatu kila mtu ana parcent yake na hajaitolea jasho. nampongeza sana harmonize kwa kuachana na hao wapuuzi watatu. na ninamsifu kwa ku sign chini ya jembe jembe.

najua sallam na hao wapuuzi wenzie hawatakubali kushindwa kirahisi, lazima watajiribu kutaka kumvurigia deal lake la harmonize ila hawataweza maana jamaa pia ni born town, ana connection kubwa na pesa ya kula anayo.

hawa wapuuzi watatu kiboko yao alikuwa ni marehemu ruge mutahaba the master minder. rest in peace ruge.
Mkuu acha kabisa kuna siku huyo rayvan kakosa hela ya mafuta kutoka kwake tabata mpaka Mbezi .. Wengi Wa mashabiki wanadanganywa na zile picha za Instagram tu ...


Watu hawawezi amini kuwa rich mavoko licha ya kutoa zile hitsong alikuwa hana hata mia mfukoni na akipata show hao utatu mtakatifu wanachukua cha kwao na Wcb kwa ujumla na kinachobaki ndio anapewa...


Kuna Dogo mmoja diamond alimchukua kutoka Sweden ndio kachukua nafasi ya Moses iyoyo kama dancer instructor Wa wcb, nimekutana nae face to face na anajuta kuingia wcb ... Huyo Dogo ndio kabuni dance styles kwenye nyimbo zote za wcb kuanzia mwaka Jana . nyegezi, tetema, inama n.k ...
 
Ndugu kama hujui mambo bora ukakaa kimya na huyo harmonize mnaempa kichwa nyie mtakuja kuanza kumuonea huruma wenywe kwa vile hujui ngoja nikwambie kwan WCB Mondi mwenywe akifanya shoo 30% ya pesa aliyoingiza inaenda kwa hao mameneja wa tatu yaani mshahara maana ndo makubaliano yeye harmonize ni nani mpaka asitoe hiyo 30% kwa mameneja na pesa kidogo kwenye mfuko wa lebel kwa Mondi kurudisha pesa zke.

Af watu hamjui uzito wa LEBEL mfano KANYE WEST na mipesa yake yote ile lakini yupo chini ya Jay Z na halalamiki na anakatwa asilimia flani kama kawaida.
Na lebel cku zote huwa zinamashabiki wake mfano tu kwa maono yangu lavalava sio msanii kiviile na nyimbo zake Mara nyingi huwa hazieleweki lakin lakini akitoa ngoma kaa kama siku nne hivi af ingia YouTube uone alivyopata viewers wengi na ndo mashabiki hao wa WCB ndo wanao mpa support wakati huohuo rich mavoko anatoa ngoma kupata 500k ni kwa tabu sana kwa hiyo nachotaka kusema kuwa lebo ina mashabiki wake harmo akiondoka WCB asilimia kubwa atajitenga nao na kuwa maadui wake
We Dogo huijui wcb kaa kimya , unaijua kupitia Instagram ..
 
No situation is parmanent. Namuona Harmonise akienda kuwa mwanamziki mwenye mafanikio na historia kubwa.

Ana jiamini, ni jasiri, ana utayari.

Kamwe huwezi kuyafikia mafanikio makubwa ya leo kama hutakuwa na hutafanya tofauti na jana.
 
Ndugu kama hujui mambo bora ukakaa kimya na huyo harmonize mnaempa kichwa nyie mtakuja kuanza kumuonea huruma wenywe kwa vile hujui ngoja nikwambie kwan WCB Mondi mwenywe akifanya shoo 30% ya pesa aliyoingiza inaenda kwa hao mameneja wa tatu yaani mshahara maana ndo makubaliano yeye harmonize ni nani mpaka asitoe hiyo 30% kwa mameneja na pesa kidogo kwenye mfuko wa lebel kwa Mondi kurudisha pesa zke.

Af watu hamjui uzito wa LEBEL mfano KANYE WEST na mipesa yake yote ile lakini yupo chini ya Jay Z na halalamiki na anakatwa asilimia flani kama kawaida.
Na lebel cku zote huwa zinamashabiki wake mfano tu kwa maono yangu lavalava sio msanii kiviile na nyimbo zake Mara nyingi huwa hazieleweki lakin lakini akitoa ngoma kaa kama siku nne hivi af ingia YouTube uone alivyopata viewers wengi na ndo mashabiki hao wa WCB ndo wanao mpa support wakati huohuo rich mavoko anatoa ngoma kupata 500k ni kwa tabu sana kwa hiyo nachotaka kusema kuwa lebo ina mashabiki wake harmo akiondoka WCB asilimia kubwa atajitenga nao na kuwa maadui wake
Mkuu achana nae huyo, hawa ndo huwa wanaamini mchezaji ni mkubwa kuliko team... Watu wanaoangalia final product (music) wanaweza kuona kama Harmonize ni mkubwa, ila kiuhalisia bila management ya wcb huyo Harmonize angeendelea kuuza mitumba tandale hadi leo.. Harmonize kakosea sana kubadili management, Kina Sallam hawana issue nyingine kubwa za kuwaingizia kipato zaidi ya kusimamia wasanii wao, wanaspend time yao 100% kwenye music wa wasanii wao, ila hiyo management ya sasa ya Harmonize ni watu ambao tayari wana channel zao za pesa, watakua na muda kidogo wa kusimamia msanii wao, na hapo ndo Harmonize atakapoanza kupotea.. Harmonize Hawezi kuwaingizia pesa zaidi ya wanazoingiza sasa kwenye Miradi yao.
 
Hatimaye meneja wa WCB Sallam SK amekata mzizi wa fitna baada kuthibitisha Harmonize kaandika barua ya kuvunja mkataba na lebo ya WCB Wasafi.

Amesema kwa sasa wanasubiria kufanya taratibu za kisheria kuuvunja mkataba na soon watakuwa na kikao cha kukubaliana terms ingawa Harmonize ameshaonyesha nia ya kukubaliana na terms zote za kuterminate mkataba.

Sallam ameomba radhi kwa mwenendo uliokuwa unaonyeshwa na msanii huyo siku za karibuni lakini amewaomba mashabiki wa Wasafi waendelee kutoa sapoti kwa Harmonize kwani ajaondoka kwa ubaya.

Mtazamo wangu; Harmonize anaenda kuwa historia kwenye muziki wa bongofleva uenda tukashangaa sana pale ambapo hatutasikia tena muziki wa kueleweka kutoka kwake na ukawa mwisho wake kisanaa.

Waliomshauri Hamo anapaswa kuwachukia maisha yake yote kama waliomshauri Mavoko.
Source ya uzi wako...?
 
Back
Top Bottom