Ndio hiyo hiyo. Kipindi kile AKA alikuja Bongo sasa Mwamba wa Kusini akaomba Kollabo la Mseleleko sasa SK akawa hataki coz yeye ndio kamleta TZ so nadhani alitaka cha juu.Collabo gani tena!?
Mbona walishapigaga don't bother kitambo sana au kuna nyingine!?
Hii Wanasemaje hao jamaa?Huyo naye MB Dog anampiga dongo la kimafumbo MASTA (AY).
View attachment 2073934
Ay naye kaamua kumtolea uvivu.
View attachment 2073935
View attachment 2073936View attachment 2073937
ExactlyJamaa anajifanya suge knight fulani
Anajifanya kama mziki ndiyo anaumiliki yeye
Ova
Watu hamjui mziki ulianza kuharibika tokea arudi Ali Kiba kwenye game 2013,hapa ndipo zikaanza timu kwenye Kili Music Awards (Team Mange, Team Joketi, Team Wema na Team Kiba),mwisho wa siku tuzo chali.tupo hivyo ndio maana wanaija wamesambaa duniani hawakunjiani kwenye fursa ila sisi sasa mkuu, Labda tutakuja kubadilika
Nenda kwenye account ya Fid Q kaipost, MB Dog (kimafumbo) anadai AY alikwamisha Collabo yake na Juakali wa Kenya.Hii Wanasemaje hao jamaa?
Mhhh.Huyo naye MB Dog anampiga dongo la kimafumbo MASTA (AY).
View attachment 2073934
Ay naye kaamua kumtolea uvivu.
View attachment 2073935
View attachment 2073936View attachment 2073937
Nyinyi wengine mmeinvest kwenye kukosoa wengineKifupi Sallam SK.. ni mtu wakukunja sana nae hujiona kama ndie godfather wamuziki wetu.
Yuko very arrogant
Mbongo ukimchukulia poa anakuona falaaaa, so bora kuwa mkaksi tu kama MagufuliBongo maslahi wanakunjiana mpaka wenyewe kwa wenyewe,wanaija hawanaga hizo
Ova
Dogo unanifahamu kaa kmya
Hii ni roho ya kimaskini tu kama huyo skCollabo kafanya na A.K.A lakini impact yake ni kama kafanya na manfongo
Baada ya kujua unatumia Tecno kc8 nimeghairi kukujibuHii ni roho ya kimaskini tu kama huyo sk
Ile ngoma ilibamba kinoma sijui ulitaka iweje ili uone sasa imeleta impact
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Jamaa anajifanya suge knight fulani
Anajifanya kama mziki ndiyo anaumiliki yeye
Ova
Na ndiyo ulimbukeni wako ulipoBaada ya kujua unatumia Tecno kc8 nimeghairi kukujibu
PovuNa ndiyo ulimbukeni wako ulipo
Acha udada Una sifa za dada zako
Mwanaume smart anatumia simu yenye acces ya vitu vyote muhimu inakuwa imetosha
Kumiliki simu kubwa ni interest za kike hizo
Au ndiyo unajifariji kuwa na wewe una hela sana
Akili za kimaskini hizo
Jibu hoja
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Duh...David basi hatariMkuu acha sisi tuendelee kuringishiana wanawake na roho za kukunjiana, wanaija acha wazoe matuzo ya grammy na kolabo za kufa mtu, embu fikiria , davido ft nicki minaj, davido ft drake, wizkid ft drake, beyonce ft wizkid, burna ft angelique kidjo, yemi alade ft a.kidjo, fireboy ft ed sheeran...davido kwa mwaka mmoja uliopita kaingiza karibia bilioni 40 za kitanzania ...
Wa tu wengi wanaojihusisha na music industry bongo elimu ndogokwenye maslahi bro hakuna kuleta hisia. Diamond alilalamika sana kupigwa vita na kukunjiwa lakini leo kashika spotlight na yeye anawakunjia wenzake, ni business tu mkuu mtu analinda maslahi yake japo ukienda naija naona huu ujinga washaachana nao ndio maana unakuta wana top artists kibao, ila kwetu sasa
Duh...David basi hatari
Sisi tunakunjiana wenyewe kwa wenyewe
Ila ndiyo asili yetu wabongo
Ova
Kweli kabisaWabongo hua tunaroho mbaya sana halafu inafichwa na tabasamu feki,